shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kwa kina Yorke1962 - Nchi ya Trinidad and Tobago yapata Uhuru wake.
Kwa kina Yorke1962 - Nchi ya Trinidad and Tobago yapata Uhuru wake.
Af kuna walioachwaKaribu sana, ila uwe makini na makoloni ya watu huku,....
Huku ni kusambaza upendo non stop..

Ukuta wa tofari za kuchoma
Hajaelewa![]()
![]()
![]()
![]()
Sidhan km alikuelewa, maana ya kuandika "LAHA"

1962 - Nchi ya Trinidad and Tobago yapata Uhuru wake.
Nimipata msamiati mupya lewoI lap u my cwt"P"..
Mie hapo tu unanikosha, ukicheka mzuri, ukitabasamu mzur, ukinununa ndio kabisa, afadhali ya nurul'ayn.. Mtoto unanikosha wewe..![]()
![]()
![]()
”I lap u“

Huyo wa kushoto mbishi huyo!!!
1991 - Nchi ya Krygyztan yajipatia Uhuru wake toka kwa Russi.
Yaliyomo HAYAMO

Ngumu kumesa
1997 - Princess Diana anafariki Dunia pamoja na Dodi Al Fayed huko Paris katika ajali ya Gari.
Wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa na MI5 ( Shirika la Ujasusi la Uingereza ). Hiyo ni kutokana na Princess Diana kuwa na mahusiano na mwarabu wa Misri Dodi Al Fayed ambaye alikuwa mtoto wa Mfanyabiashara na mmiliki wa klabu ya soka ya Fulham Fc ya London.
Ikumbukwe Diana alikuwa ni mtalaka wa Prince Charles mtoto wa Malkia Elizabeth wa Uingereza.
Kifo chake kiligusa wengi sana!!