Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,930
Mifumo ya makocha, Yaya atabaki dk hizi za majeruhi kweli?Pep hamtaki 7bu anapenda kipa anayecheza km beki wa kati(kuanzisha mpira,kucheza pasi za kupoteza muda n.k)....hiyo kazi Joe haiwezi anajua kudaka haina ubishi
...........
