Nimekukubali sana....kuaga ni jambo la kheri hasa km uliishi vizuri na watuWatu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell
Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini
In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
Briz yupo offline week ya pili sasa
Km asipopatikana mjanja wa kuendeleza nitajaribu mimi
Km mzembe fulani niliyeendeleza segment yake
............
Haahaaa nimecheka sana.
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
God bless uThanks sana mkuu thread hii ime nisaidia sana pia
Nme elimika
Nime cheka
Nime enjoy
Nme pata updates kibao
Yaliyo anza muyaendeleze watu wapya wana kuja kila day hapa
Kama barca ana toka mtu ana ingia mtu.
Mungu akubariki mkuu
ShemejiiiiiiiiiWatu wengi wamekuwa wakija na kutoka kimya kimya, ila mimi hapa palikuwa kama hom, now mambo ya JF naachana nayo tuu, na JF kwangu ilikuwa ndo hii, so nkaona ni bora ni wape watu proper farewell
Naenda wap!? Aaa any where around the world, ni chill na nini
In short Szczesny ana enda kupimzika naye
Ila ntakumiss ile kuja yko ya mara moja moja
Nimekukubali sana....kuaga ni jambo la kheri hasa km uliishi vizuri na watu
Ht mimi majukumu yameanza kunitinga na km siku naachana na Jf nitaaga(but sitegemei km itatokea labda pumzi ikate)
..................
Asante sana mwenyekitiHongera wa Mchangani kwa 93k.
Kampa kampa tena.
AhsanteDaah! basi ndugu yangu nikutakie kila la kheri,
Binafsi ntakukumbuka sana.....
Tatizo muda......ni segment muhimu yenye kuelimisha na maujanja kibao
Mweeer!!
Ila wewe una weza, kama vipi iendeleze tuu mkuu
Hii ni mali ya hapa hapa
Wahenga waliwahi kusema hakuna marefu yasiyo na ncha. Pia kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.So guys thank u , ur the best people ever , toka nilianza hii segment mme i sapot sana nashukuru endeleeni kusapotiana na penda mfike hata 10000k mkiwa pamoja hapa kapuku forum
Kumi kali za mwisho zme letwa kwenu na mwanzilshi wake anaye kwenda ku retire
Szczesny Carrenza de la Cas de la Fuma
Si kaz rahisi hii wakuu , but support yenu na upendo wenu vili nifanya kila sku niumize kichwa na nihangaike hapa kuleta mambo
Kwa herini sana keep t cool keep t real
Top ten is out!!!
Umeprove U are a good person
Kwa hiyo ki ufupi jf ita kuaga wewe
Nimeona kupotea kimya kimya siwatendei haki ndugu zangu pia sjitendei haki mie pia
Szczesny ana ondoka kf na jfShemejiiiiiiiii
Waenda wapi tena???
Au ikiezekana ihamishe mda, au ipeleke weekend, au uwe una zitoa kidogo kidogo mpaka ziisheTatizo muda......ni segment muhimu yenye kuelimisha na maujanja kibao
Binafsi nilikuwa kila ukipost ww au Mussolini naingia kwenye net kujionea au kujifunza zaidi
..................
I will miss you moreSzczesny ana ondoka kf na jf
Ana endelea na program nyingne za maisha
I will miss u shemej
I regret skuwa man fongo kwako
Nakukubali sana, mpe hii manuu
Dah.. Usijali kaka umemuacha katika mikono salama..Hahaha
I'll miss u mkuu
Mambo ya babu mkombe
Take care of her
Hahaha by the way i was calling her swt p , then na wew una muita kifupi
Salute mzazi
Kila la heri Mkuu!! Ubarikiwe sana.Hahaha
Nme fanikisha kifurahi too
Siyo jasusi but am a very boring person on real life
I think its time to change life style tuu
Ila.mkuu nna kukubali sana
Nime furahishwa sanaa the way mlikuwa mna appriciate nnavo vifanya hapa , mimi ntawa miss sana wakuuWahenga waliwahi kusema hakuna marefu yasiyo na ncha. Pia kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.
Nichukue nafasi hii kukushukuru kwa time yako ya kushare vitu mbalimbali hapa Jukwaani, japo hatujuani lakini tumezoeana ndani ya muda mfupi kama ndugu.
Kila la heri katika majukumu yako mkuu, jina lako litaishi hapa KF kwa muda mrefu.
Goodbye the saddest word!! Celine Dion hakukosea. Goodbye Mkuu!!