Makapuku Forum

Nimekukubali sana....kuaga ni jambo la kheri hasa km uliishi vizuri na watu
Ht mimi majukumu yameanza kunitinga na km siku naachana na Jf nitaaga(but sitegemei km itatokea labda pumzi ikate)
..................
 
Shemejiiiiiiiii
Waenda wapi tena???
 
Nimekukubali sana....kuaga ni jambo la kheri hasa km uliishi vizuri na watu
Ht mimi majukumu yameanza kunitinga na km siku naachana na Jf nitaaga(but sitegemei km itatokea labda pumzi ikate)
..................

Kwa hiyo ki ufupi jf ita kuaga wewe

Nimeona kupotea kimya kimya siwatendei haki ndugu zangu pia sjitendei haki mie pia
 
Wahenga waliwahi kusema hakuna marefu yasiyo na ncha. Pia kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.

Nichukue nafasi hii kukushukuru kwa time yako ya kushare vitu mbalimbali hapa Jukwaani, japo hatujuani lakini tumezoeana ndani ya muda mfupi kama ndugu.

Kila la heri katika majukumu yako mkuu, jina lako litaishi hapa KF kwa muda mrefu.

Goodbye the saddest word!! Celine Dion hakukosea. Goodbye Mkuu!!
 
Nime furahishwa sanaa the way mlikuwa mna appriciate nnavo vifanya hapa , mimi ntawa miss sana wakuu
Endelea na ule utaalam wako wa kupiga pande zote zote

Halaf Nlishndwa ku keep ahadi ya Nixon lakin uamuzi huu siku tegemea kama leo uta fanyika so
I hope uta fuatilia mwenye vizuri

Thts why nlijoin hapa, mkuu good by endelea kuwa mtu makini hvo hvo kaka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…