Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Hongera wa Mchangani kwa 93k.Kabisa
Kampa kampa tena
Kampa kampa tena.
Hongera wa Mchangani kwa 93k.Kabisa
Kampa kampa tena
Hao ni cricket tuNi siku ya michezo nchini India.
Hahahaha...Mjini shule ila usije na madaftari.*MJINI SHULE*
Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.
Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!
Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp...!
_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama hana akili nzuri._
--
Kisha nikaituma ile message
Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake... Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.
*Akatuma message akiniuliza...*
_Hao wanawake unawajuwa, ...mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli...!_
Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa...!
Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa...! Akaniandikia message nyingine....
...Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe... Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri...!
Nami nikamjibu...
_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo...!_
Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai...!
Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa.... Kama sio mie!
1958 - Michael Jackson anazaliwa.
Alikuwa ni mfalme wa muziki wa pop Duniani.
Ni mmoja wa wanamuziki bora wa wakati wote kuwahi kutokea Ulimwenguni.
Anashikilia rekodi mbalimbali kama vile Albam iliyouza nakala nyingi zaidi duniani ni Albam yake ya Thriller.
Alijibadilisha rangi toka mweusi mpk kuwa mweupe.
Alifariki Dunia mwaka 2009 lakini Jina lake litaishi miaka mingi sana.
Sana, Olimpiki ya majira ya joto pale Atalanta.Walisumbua sana Olympic
Hahahaha...Mjini shule ila usije na madaftari.
KweiPia kulikuwa na Babangida.Kitambo sana huyu babayaro
You only live once, if you do it right, once is enough.
Ndio yupi kwenye muvi?1987 - Lee Marvin anafariki Dunia.
Alikuwa ni msanii wa filamu toka nchini Marekani.
Anakumbukwa zaidi katika picha ya Delta Force one,aliyoshirikishwa na Chuck Norris.
Merci MukuluKwa hisani kubwa ya MJ - Michael Jackson, sina la ziada tukutane kesho.
Byeee!!
Tarbo WestPia kulikuwa na Babangida.
Hongera wa Mchangani kwa 93k.
Kampa kampa tena.
JJ wa mchangani!!!Ulikuwa hujui?![]()
![]()
JJ wa mchangani!!!
1987 - Lee Marvin anafariki Dunia.
Alikuwa ni msanii wa filamu toka nchini Marekani.
Anakumbukwa zaidi katika picha ya Delta Force one,aliyoshirikishwa na Chuck Norris.
Finidi George.Tarbo West
Ngoja kubwa lao Bitoz alete picha. Ni yule babu. Ambaye ndio kama alikiwa kamanda mkuu.Ndio yupi kwenye muvi?
Sipo fresh hivyo sitakuwa na pichaKwa hisani kubwa ya MJ - Michael Jackson, sina la ziada tukutane kesho.
Byeee!!
oui!Merci Mukulu
Kila mtu na kaburi lakeYou only live once, if you do it right, once is enough.
R.I.P Wacko Jacko.