Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,043
- 12,527
n
ipo powa mkuu .. mvua ndo kero hapaSalama mkuu mandelaa uko poa
ipo powa mkuu .. mvua ndo kero hapaSalama mkuu mandelaa uko poa
ndio, naongea na wewe
Rolls-Royce wraithAnazingua huyuDada tena???
UKUBWANIMbona mi sijaomba kibali na nna access?? Kibali niliomba cha dini na ukubwani![]()
Wacha tu si unajua mawenge tena ila mpaka sasa sija-give up na wanasema ukiona msichana mgumu mwanzo ujue huyo ni wako na si tupo wawili hachomoi kabisa huyu..Dada tena???
powa powa ...Mnijulishe basi na mimi niwe napima
HovyoooYawezakuwa.
Mwache mzee mbona unamlazimisha kasema yuko single lady kama mimi nilivyo single boy tushachoka na mapenzi atiUsijime raha wewe. manuu anakuelewa hebu fungua moyo kwake
amepanki mchukulie powaNshageuka Dada ako???
amaizing unajua wewe ndo unanifanya hata jina langu kwa sasa naweza sahau yaani mtu akiniuliza ghafla asee unaitwa nani naweza sema amaizing...Niko serious nakufeel sana asee naomba uwe wangu na mimi niwe wako...Mtoto mzuri macho ya mviringo, ukicheka unadimpo, yaan mwendo wa madaha kwako nimefika yaani sijiwezi asilani..Anazingua huyu
Yan hajielewi kabisa
Hahahahaha tatizo jamaa naye ananiungusha huyu. Single boy kwahiyo sabuni kwa sana tu auMwache mzee mbona unamlazimisha kasema yuko single lady kama mimi nilivyo single boy tushachoka na mapenzi ati
Naona mission zimeingiliana ....Mwache mzee mbona unamlazimisha kasema yuko single lady kama mimi nilivyo single boy tushachoka na mapenzi ati
ok, ngoja nikuagizie..Rolls-Royce wraith
Hadi wewe uko kule ukubwani??Mbona mi sijaomba kibali na nna access?? Kibali niliomba cha dini na ukubwani![]()
