aiseeh, wewe siumesema unasepa..![]()
![]()
huwezi
Pamoja sana mpaka ataelewa ila usikate tamaa kabisaUbarikiwe mkuu naamini atakuwa bado anasali ila jibu atakalo pewa litakuwa ni Manuu tu..
Naamini hawezi kubali kuona mtoto wa mwenzke anateseka hivi..Naamini atabadili mawazo tu..Jamani, embu akuonee huruma
Kweli makapuku forum tunatisha mpaka we umekuja hapa maana nakuona kule mkibishana na wakenya tu kuhusu jeshi letu na lao na kushindanisha miji ya kenya na tanzania ila karibu ndani ya ukapuku forumWakukimbia makapuku ni mie? Unanchekesha.
Yaani akiinama nainama naye akiinuka niko naye...Ama nimuulize na mimi ni aina gani ya gari anataka nikabidhi funguo tu..Pamoja sana mpaka ataelewa ila usikate tamaa kabisa
Hapa hakishindikani kitu mdogo mdogo tuMkuu pambana maana nikishindwa tutakuwa tumeshinwa wote na itakuwa aibu sana kwako..Maana mi ntakuruka mwisho wa siku..
City man lazima aende finaly na atletico madridHaendeni popote
NahreneJamani, embu akuonee huruma

Mkuu MEMBERS ONLY inapitikana wap?Nenda MEMBERS ONLY kuna thread "Likes za kapuku mwisho ni 5 ?" Majibu yapo humo
......................
huruma wakati mwingine zinalemaza akili mkuu ...Jamani, embu akuonee huruma