Nahrene
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 938
- 2,908
Hiki cheo kimekujaje?Miss makapuku upo!
Hiki cheo kimekujaje?Miss makapuku upo!
Tatizo una wivu sanaI am Single boy haya mapenzi yamenishinda
Ni kwa RUHUSA TUMkuu MEMBERS ONLY inapitikana wap?
Nimezunguka kona zote siipati kabisa.
Tayari kitamboNilipewa list ya Masingle boy huku na list ilisoma hivi Manuu, peterchoka ,mshana jr pamoja na ibra87 kumbe peterchoka keshapata mwenza...
Jamani maneno yako nshayaelewa...ila sijakubaliMambo zako..Nilikuwa nasema yaani..hahahaha amaizing bana yaani kama vipi yaan nakuelewa ile mbaya...Nakufeel yaani...Aisee nimepoteza comfo kabisa mtu mmoja anisaidie hapa ni nini nilikuwa nataka kumwambia amaizing jamani..

Ni kweli tena mwambie namzmia ile mbaya na hata juta akinukubali kuwa na mimi..Haiwezekani mtoto mwenye sura nzuri hivyo awe na mtu asiye mjali yaani mimi hapa kila siku lunch juu yangu..Jioni usafir hadi home juu yangu ..Haoliday yaani akisema Yes tu..Nafanya booking tukapumzike kwenye mbuga za serengeti..Umenikubali amaizingmanuu analalamika huku, muonee huruma
Ilikikubali jana umesahau!!!Hiki cheo kimekujaje?
huenda kuna SI UNIT inayotumika kupima ubora wa kapuku ....Hiki cheo kimekujaje?
manuu acha habari za lunch na holiday tupa Kule.Ni kweli tena mwambie namzmia ile mbaya na hata juta akinukubali kuwa na mimi..Haiwezekani mtoto mwenye sura nzuri hivyo awe na mtu asiye mjali yaani mimi hapa kila siku lunch juu yangu..Jioni usafir hadi home juu yangu ..Haoliday yaani akisema Yes tu..Nafanya booking tukapumzike kwenye mbuga za serengeti..Umenikubali amaizing

Mnijulishe basi na mimi niwe napimahuenda kuna SI UNIT inayotumika kupima ubora wa kapuku ....
najaribu kusaidia tu maana sio mchezo ujue![]()
Unavyojitahidi kumkuwadia
Salama mkuu mandelaa uko poaa
niaje mkuu ....
Na wewe uliteseka kama mimi..?Tayari kitambo
ndio, naongea na weweMe??
Mbona mi sijaomba kibali na nna access?? Kibali niliomba cha dini na ukubwaniNi kwa RUHUSA TU
Hadi upewe kibali
mPM invisible ndo muhusika
Ndo ivo
...............
