We nenda jioniDuuh sala za usiku hizi sio kabisa
MimiSipendi tabu japo sijui kama kuna ambae anapenda
PoleNi kwenye page 9000# mwanzoni mwanzoni nadhani sikumbuki, humu nimechanganywa leo.
KweiTwin...watoto hawatabiriki...ujue kuna tabia anaweza akaidevelop ukimchekea chekea anaweza kukuwa nayo...ni heri akakanywa na fimbo kidogo juu ndio huwa anaelewa somo. Mfano mimi nakumbuka jambo lolote baya nililofanya utotoni sikuwahi kurirudia baada ya kucharazwa maana nikiwaza yale maumivu tu naishiwa pozi...true story mi nilikuwa nna michezo ya hatari sana ambayo mingine pengine ingeweza kunidhuru hadi mimi mwenyewe...imagine mama angekuwa kimya tu.pengine ningekuwa nimeshapoteza uhai au kuharibikiwa kabisa pia nimeshuhudia watoto waliolelewa kimayai mayai sana walivyokuwa baadae. fimbo inamuhusu mtoto.
DiiiihNeene???
WisdomTwin...watoto hawatabiriki...ujue kuna tabia anaweza akaidevelop ukimchekea chekea anaweza kukuwa nayo...ni heri akakanywa na fimbo kidogo juu ndio huwa anaelewa somo. Mfano mimi nakumbuka jambo lolote baya nililofanya utotoni sikuwahi kurirudia baada ya kucharazwa maana nikiwaza yale maumivu tu naishiwa pozi...true story mi nilikuwa nna michezo ya hatari sana ambayo mingine pengine ingeweza kunidhuru hadi mimi mwenyewe...imagine mama angekuwa kimya tu.pengine ningekuwa nimeshapoteza uhai au kuharibikiwa kabisa pia nimeshuhudia watoto waliolelewa kimayai mayai sana walivyokuwa baadae. fimbo inamuhusu mtoto.

So soon!! Mi labda kwenye 120Kifo sikitaki sasa hivi...nikifika 80 kije tu.
Hamna namnaNdio labda niwe siyo baba ake
Aki balehe aka leta ujinga ana pgwa
Ntaanza kuwa nakuwekea na wewe ukija uzikute
Hamna naongea ukweli niko deep sana kuhusu hiyo mada ya bakora ujueAaaah
I.... U its like unaongea vitu nnavo taka niskie
![]()
I loove death, ubinadamu unachoshaSo soon!! Mi labda kwenye 120
Sweetiepie nina mafuta ya kipago unatakiwa nikupakeHamna namna
Unaweka alama ya @ kisha unaandika jina la mtu bila kuacha nafasiSiwezi kutag inakuaje?
Ukweli ni mkubwa sana
Mi naijua ila sio kigamboni, imepakana na amani beachNi ya Kigambouni....nzuri hiyooo
Umitubu LAKINI???I loove death, ubinadamu unachosha
After all ntakuwa napumzika mateso ya dunuani mweer
Hiki kicheko ni cha uchochezi kabisaBwahahahahaha