Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
BwahahahahahaWacha uhangaike
BwahahahahahaWacha uhangaike
Sa we si ndo unayo au?Veepe imeingia?
Ntaanza kuwa nakuwekea na wewe ukija uzikutePoa ntazipata basi.
Sasa si wewe mwenyewe umethibitisha kuwa kajoin juzi tu??So you are younger than..
Neene???Sa we si ndo unayo au?
Mimi pia huwa sipo kama kubwa lao91k tayari!!
Ngoja nitoe mpango kazi wangu kuelekea 100K.
Vita yote sasa ni 100k.
Hizo nyingine sijui 92k mpk 99k nitawaachia wenzangu wa mchangani wakiongozwa na JJ.
Hivyo basi nitangaze rasmi nimeanza kazi ya kuitafuta 100k kwa Udi na Uvumba.
Nakala kwa:
Jimena
Szczesny
shululu
Sweetiepie
jonax
werrason
Angalizo:
Kubwa lao huwa hayupo katika ligi hiyo, lakini sipuuzii uwepo wake!!
Ndio labda niwe siyo baba akeKwahiyo hata wakibehave wanapigwa tu ??
AaaahMi pia nisingechapwa sijui ingekuaje

HahahaWacha uhangaike
Mimi pia huwa sipo kama kubwa lao
Cc bitoz

Umeombewa tayariEimen
YeahAnd I real love that...
Best couple ever
Kuna siku ukaja ukapiga hodi bebi akakuwelikamuSasa si wewe mwenyewe umethibitisha kuwa kajoin juzi tu??
Sipendi tabu japo sijui kama kuna ambae anapendaMtoto mayayi wewe
Twin...watoto hawatabiriki...ujue kuna tabia anaweza akaidevelop ukimchekea chekea anaweza kukuwa nayo...ni heri akakanywa na fimbo kidogo juu ndio huwa anaelewa somo. Mfano mimi nakumbuka jambo lolote baya nililofanya utotoni sikuwahi kurirudia baada ya kucharazwa maana nikiwaza yale maumivu tu naishiwa pozi...true story mi nilikuwa nna michezo ya hatari sana ambayo mingine pengine ingeweza kunidhuru hadi mimi mwenyewe...imagine mama angekuwa kimya tu.pengine ningekuwa nimeshapoteza uhai au kuharibikiwa kabisa pia nimeshuhudia watoto waliolelewa kimayai mayai sana walivyokuwa baadae. fimbo inamuhusu mtoto.Hawezi kuleta utukutu. Anaanzaje kwa mfano??
KF ama wapiMi mgeni maeneo haya
Hahaha
Walaaa JJ wangu yupo
