Makapuku Forum

2. Malipo ya chakula- Denmarksheria ya ulaji huko Denmark inamtaka mteja yeyote wa chakula kuto mlipa muuzaji mpaka pale (kwa hisia zake mwenyewe mlaji) atakapo ona ameshiba na ana uhakika hana haja ya kuendelea kula, yaan nna imagen hii sheria ingekuwepo kwetu Iringa huko hahaha

2. Ipo sheria inayo wataka wana nchi wa Denmark kuto endesha gari ikiwa mtoto amelala na inatakiwa dereva yeyote kuto ondoa gari kabla haja angalia kama kuna mtoto aliye lala
 
1. Sheria ya Talaka-Ufilipino ni kosa kisheria kuoena talaka baada ya kuwa mmefunga ndoa ya halali, huko ukisha oa umeoa serikali hai entertain kabsa masuala ya kuomba talaka na waka haina huduma hiyo, ni sehemu mbili tuu duniani hazofanyi hvo yaani Vaticani na Ufilipino, lakini wakati Vaticani wao Talaka inaweza tolewa lakin kwa process ndefu
Ufilipino kwa wakristo woote talaka haitolewi kwa namna yyte ile
Na kwa waislam inatolewa kwa sababu za msingi na kwa process ndefu sana mpaka ikamilike
 
Sasa sisi vibonge twende wapi kama ni hivyo...
?! waifikirie mara mbili mbili hiyo sheria
 
Cc szczesny

Cc jimena
 
Utah kazi wanayo.
 
Wanawachunga mno jamani khaa
 
Ilishawahi kutokea?
 
Cc jimena
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…