Makapuku Forum

Makapuku Forum

2. Malipo ya chakula- Denmark
1472231255576.jpg
sheria ya ulaji huko Denmark inamtaka mteja yeyote wa chakula kuto mlipa muuzaji mpaka pale (kwa hisia zake mwenyewe mlaji) atakapo ona ameshiba na ana uhakika hana haja ya kuendelea kula, yaan nna imagen hii sheria ingekuwepo kwetu Iringa huko hahaha

2. Ipo sheria inayo wataka wana nchi wa Denmark kuto endesha gari ikiwa mtoto amelala na inatakiwa dereva yeyote kuto ondoa gari kabla haja angalia kama kuna mtoto aliye lala
 
1. Sheria ya Talaka-Ufilipino
1472231452659.jpg
ni kosa kisheria kuoena talaka baada ya kuwa mmefunga ndoa ya halali, huko ukisha oa umeoa serikali hai entertain kabsa masuala ya kuomba talaka na waka haina huduma hiyo, ni sehemu mbili tuu duniani hazofanyi hvo yaani Vaticani na Ufilipino, lakini wakati Vaticani wao Talaka inaweza tolewa lakin kwa process ndefu
Ufilipino kwa wakristo woote talaka haitolewi kwa namna yyte ile
Na kwa waislam inatolewa kwa sababu za msingi na kwa process ndefu sana mpaka ikamilike
 
5, shera mbili za japaniView attachment 388303 1. Ni marufuku kuwa mnene japani, kwa mtu yeyote mwenye miaka 40 na zaid hutakiwi kuzidi kiuno cha nchi 32 na kwa wanawake kiuni kiszid nchi 36, na serikali za mtaa zenye watu wanene wengi hupigwa faini za kila mwezi


2. Japan ni lazima kuheshimu wakubwa ,kiasi kwamba kama una kaka yako amempenda girlfriend wako na ana nia ya dhati ya kumuoa , ilikuonesha una muheshimu lazima umwachie huyo mpenzi wako aolewe na kaka yako , hapo ni sheria ya kuheshimu wakubwa
Sasa sisi vibonge twende wapi kama ni hivyo... ?! waifikirie mara mbili mbili hiyo sheria
 
4, Ndoa na binamu yako-UtahView attachment 388304hurubusiwi kumuoa au kuolewa na binamu yako huko jimbo la Utah, na baada ya watu kupigania sana sheria iangaliwe upya , sheria ilipitiwa na kuruhusu mabinamu wenye umri wa kuanzia miaka 65 na kuendelea tuu ndio waweza kuona, kwa kuwa hao wana jitambua kwenye maamuzi yao
Cc szczesny

Cc jimena
 
4, Ndoa na binamu yako-UtahView attachment 388304hurubusiwi kumuoa au kuolewa na binamu yako huko jimbo la Utah, na baada ya watu kupigania sana sheria iangaliwe upya , sheria ilipitiwa na kuruhusu mabinamu wenye umri wa kuanzia miaka 65 na kuendelea tuu ndio waweza kuona, kwa kuwa hao wana jitambua kwenye maamuzi yao
Utah kazi wanayo.
 
7, wanawake kuendesha gari -Saudi ArabiaView attachment 388293Ni marufuku kwa mwana mke kuendesga gari saudi, na mwana mke akwa kwenye gari lazma awe na guardia(msimamizi) ambaye ni mwanaume, ni bora hata aendeshe mtoto lakin awe wa kiume na si mwanamke
Huko naskia hata maduka ya nguo za kike wanauza wana ume, na mwana mke hutoki bila guardian wako
Wanawachunga mno jamani khaa
 
3, Kufariki Bungeni-UingerezaView attachment 388306waheshimiwa wabunge huko uibgereza hawaruhusiwi kufariki ndani ya jengo la bunge, sababu hasa haijulikanj lakini inadaiwa kwao bunge ni mahala patukufu na ukifia hapo lazima msiba wako uwe wa kitaifa, na sasa ndio maana mbunge yyte akionesha dalili zozote zszo nzuri ana tolewa haraka na kupewa huduma ya Afya au akafie huko nje ikiwezekana
Ilishawahi kutokea?
 
2. Malipo ya chakula- DenmarkView attachment 388307sheria ya ulaji huko Denmark inamtaka mteja yeyote wa chakula kuto mlipa muuzaji mpaka pale (kwa hisia zake mwenyewe mlaji) atakapo ona ameshiba na ana uhakika hana haja ya kuendelea kula, yaan nna imagen hii sheria ingekuwepo kwetu Iringa huko hahaha

2. Ipo sheria inayo wataka wana nchi wa Denmark kuto endesha gari ikiwa mtoto amelala na inatakiwa dereva yeyote kuto ondoa gari kabla haja angalia kama kuna mtoto aliye lala
Cc jimena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom