Makapuku Forum

Makapuku Forum

6,Kuanika nguo-Minnesota
1472230407854.jpg
ni marufuku sehemu yeyote kuanika nguo za ndani za mwanmke na za mwanaume kwenye kamba moja
Hahaha hii sasa hata sja pata details zake kwa nn iliekwa
 
5, shera mbili za japani
1472230574570.jpg
1. Ni marufuku kuwa mnene japani, kwa mtu yeyote mwenye miaka 40 na zaid hutakiwi kuzidi kiuno cha nchi 32 na kwa wanawake kiuni kiszid nchi 36, na serikali za mtaa zenye watu wanene wengi hupigwa faini za kila mwezi


2. Japan ni lazima kuheshimu wakubwa ,kiasi kwamba kama una kaka yako amempenda girlfriend wako na ana nia ya dhati ya kumuoa , ilikuonesha una muheshimu lazima umwachie huyo mpenzi wako aolewe na kaka yako , hapo ni sheria ya kuheshimu wakubwa
 
7, wanawake kuendesha gari -Saudi ArabiaView attachment 388293Ni marufuku kwa mwana mke kuendesga gari saudi, na mwana mke akwa kwenye gari lazma awe na guardia(msimamizi) ambaye ni mwanaume, ni bora hata aendeshe mtoto lakin awe wa kiume na si mwanamke
Huko naskia hata maduka ya nguo za kike wanauza wana ume, na mwana mke hutoki bila guardian wako
Hata Dr hurusiwi kumzalisha mama mja mzito
 
4, Ndoa na binamu yako-Utah
1472230865171.jpg
hurubusiwi kumuoa au kuolewa na binamu yako huko jimbo la Utah, na baada ya watu kupigania sana sheria iangaliwe upya , sheria ilipitiwa na kuruhusu mabinamu wenye umri wa kuanzia miaka 65 na kuendelea tuu ndio waweza kuona, kwa kuwa hao wana jitambua kwenye maamuzi yao
 
5, shera mbili za japaniView attachment 388303 1. Ni marufuku kuwa mnene japani, kwa mtu yeyote mwenye miaka 40 na zaid hutakiwi kuzidi kiuno cha nchi 32 na kwa wanawake kiuni kiszid nchi 36, na serikali za mtaa zenye watu wanene wengi hupigwa faini za kila mwezi


2. Japan ni lazima kuheshimu wakubwa ,kiasi kwamba kama una kaka yako amempenda girlfriend wako na ana nia ya dhati ya kumuoa , ilikuonesha una muheshimu lazima umwachie huyo mpenzi wako aolewe na kaka yako , hapo ni sheria ya kuheshimu wakubwa
1/Naunga mkono
2/Hapana kaka angu hawezi chukua demu wangu ....tutauana
Sipendi heshima za kimbuzi
.......
 
3, Kufariki Bungeni-Uingereza
1472231048120.jpg
waheshimiwa wabunge huko uibgereza hawaruhusiwi kufariki ndani ya jengo la bunge, sababu hasa haijulikanj lakini inadaiwa kwao bunge ni mahala patukufu na ukifia hapo lazima msiba wako uwe wa kitaifa, na sasa ndio maana mbunge yyte akionesha dalili zozote zszo nzuri ana tolewa haraka na kupewa huduma ya Afya au akafie huko nje ikiwezekana
 
10. Wana wake walio olewa huko Bolivia ni marufuku kunywa, mvinyo au pombe zaid ya glas moja View attachment 388275 ili kuendeleza ustaarabu na kuhakikisga wanawake walio olewa hawawi tricked na kina man4ongo wa huko, ni marufuku kumnywesha bia mke wa mtu zaid ya glass moja , sja jua waliangalia nn kueka sheria hii lakin
Huko sikanyagi.
 
3, Kufariki Bungeni-UingerezaView attachment 388306waheshimiwa wabunge huko uibgereza hawaruhusiwi kufariki ndani ya jengo la bunge, sababu hasa haijulikanj lakini inadaiwa kwao bunge ni mahala patukufu na ukifia hapo lazima msiba wako uwe wa kitaifa, na sasa ndio maana mbunge yyte akionesha dalili zozote zszo nzuri ana tolewa haraka na kupewa huduma ya Afya au akafie huko nje ikiwezekana
Si wajinyongee humohumo

..........
 
9, sheria ya ndoa-Saudi ArabiaView attachment 388277 sheria ya ndoa haitaji umri wa mwana mke kuolewa huko Saudi Arabia, kwa hiyo mtoto wa kike Saudi anaeza olewa mda wowote ilimradi kaonesha dalili za kuvunja ungo, nadhan wanatumia njia za kitamaduni za toka kipindi hiko,
Mfano mwaka jana mahakama ilishndwa kumpa haki ya talaka mtoto mwenye miaka 8 aliye olewa na mzee mwenye miaka 55, kwani alitumia kigezo cha kupishana umri tuu
Miaka 8 hana wazazi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom