shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Hao ni nuks sanaWasomali nao sio kumbe Jirani eeh?
Hao ni nuks sanaWasomali nao sio kumbe Jirani eeh?
Ndio mpiraIngekuwa dharau
Mengine uishie kusikia tu.. Usiombe kuona..Weka picha...tuone hicho kifo kilivyo

Hapa mchekea kabisa kwa ndugu zangu mashetan wekundu.. Watatomboka tu
Fundi...
Bora aanzie huko.. Huyu mzee wenger nae ni jipu la mwendokasi.
Ankali nasubiri hapa konaHaya top 10, inakuja si mda mrefu hapa
Twenzetu tukafe kishujaa...kama wale waliojaribu kuvuka Wall ya Berlin wakatunguliwa...Hahaha
Jana nlikwambia
Twende tukafe uku tumeshikana mikono