Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Hatakiwi hata benchi, maana ule mkosi wake lazma uwahusu tu.Ningekuwa kocha mechi za fainali benchi linamuhusu
![]()
![]()
![]()
........
Hatakiwi hata benchi, maana ule mkosi wake lazma uwahusu tu.Ningekuwa kocha mechi za fainali benchi linamuhusu
![]()
![]()
![]()
........
Sijui kwanini hakufanya hivyo!!Si angebadili tu kajezi kake
........
Kiukweli kuna wachezaji wana mikosi ...mwingine Griezman kapoteza final 3 mfululizoHatakiwi hata benchi, maana ule mkosi wake lazma uwahusu tu.
Mkosi wa hali ya juu!! Inauma sana.Kiukweli kuna wachezaji wana mikosi ...mwingine Griezman kapoteza final 3 mfululizo
........
Bonge la mkosi lakini ashukuru kawahi kubeba kwenye fainali 1 dhidi yaThe BluesMkosi wa hali ya juu!! Inauma sana.
Evra nae anashikilia rekodi ya kupoteza Fainali 4 za Uefa.
2004 akiwa Monaco walifungwa na Porto ya Mourinho.
2009 - Man utd akifungwa na Barca.
2011 - Man Utd ikifungwa na Barca tena.
2015 - Juve ikifungwa na Barca.
Acha kuongeza chumvi ni dk ya 2Naona Mbwana Samatta leo pia katupia goli dk ya 1 kwenye michuano ya Europa Ligue
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hiko ndio kitu pekee cha kujipoza!!Bonge la mkosi lakini ashukuru kawahi kubeba kwenye fainali 1 dhidi yaThe Blues
..........
Alikuwa king'ang'anizi sana, si unakumbuka alivyotua darajani, ugomvi wake na galasSijui kwanini hakufanya hivyo!!
Dogo anamkosi mbaya sanaKiukweli kuna wachezaji wana mikosi ...mwingine Griezman kapoteza final 3 mfululizo
........
Na kwako piausiku mwema!!
Nmecheki ball live kabisa na macho yangu hayawezi kudanganya kabisa..Acha kuongeza chumvi ni dk ya 2
![]()
![]()
![]()
........

Role modelJoseph Stallin nae nuksi sana,alikuwa ana mustachi ndio maana alikuwa katili.
Asante sana kwa nukuuSina la ziada, nukuu za leo zimeletwa kwenu kwa hisani ya kipa wa arsenal aka mzee wa top ten, kwaherini
SanaaaaAlikuwa ana jua mweer!!
Huu sasaAaaah
Alikuwa ana shinda kwenye ndege tuu naye mweer!!
uchocheziMajangaOhooo.....
Mi siamini sana hiiHuyu dada inasemekana aliuawa kwa mambo ya blood Sacrificing like hakuwa na umuhimu tena katika music industry mambo ya Secret society hayo... tunarudi kule kule "Conspiracy theories" there you go.