Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Wanasema aliponzwa na namba 13 aliyopenda kuvaa katika maisha yake ya soka.Jamaa alikuwa hana bahati kabisa aisee
2002 - Bayer Leverkusen wanafungwa fainali ya Uefa na Real Madrid yeye akiwa kepten wa Leverkusen. Unakumbuka goli la Zizzou lile kali ndilo liliwaua.
2002 - Wanafungwa fainali ya Kombe la Dunia na Brazil.
2008 - Timu yake ya Chelsea wanafungwa fainali ya Uefa na Man Utd.
2008 - Ujerumani wanafungwa fainali na ya Euro na Spain, Ballack akiwa nahodha.