Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Hahahaha1912 - Chama cha kijamaa cha Kuomintang cha Nchini China chaanzishwa.
Ni chama cha pili kwa ukubwa nchini China.
Mambo ya kina Mao tse Tong na chiang kai shek
Hahahaha1912 - Chama cha kijamaa cha Kuomintang cha Nchini China chaanzishwa.
Ni chama cha pili kwa ukubwa nchini China.
Itakuwa ina itwa AMERINAPA1916 - Idara ya Uhifadhi wa mbuga za taifa nchini Marekani yaanzishwa.
Ni sawa na TANAPA kwa hapa Bongoland
Hapo bwana de gaullie alikuwa asha kimbia kitambo1944 - Jiji la Paris lakombolewa na Majeshi ya Ushirika katika vita kuu ya pili ya Duniabaada ya kuwa chini ya Wajerumani toka mwaka 1940.
Ufaransa ilisaidiwa na Ushirikiano wa Uingereza na Marekani.

Simjui huyo1961 - Rais Janio Quadros wa Brazil anajiuzulu Urais baada kutumikia wadhifa huo kwa miezi saba tu.
Hatare white supremacists hao1967 - George Lincoln Rockwell anauwawa.
Alikuwa ni mwanzilishi wa American Nazi Party.
Jamaa alikuwa sanator wa maisha we miaka 40+ useneta gan huo2009 - Senator Ted Kennedy anafariki Dunia.
Alikuwa ni Senator wa Massachusetts.
Alikuwa ni mdogo wa Mwisho wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy.
Ni miongoni mwa wanafamilia wachache wa Familia ya Kennedy kufa kifo cha kawaida.
Nitawaletea Laana/ Mkosi wa Familia ya Kennedy " The Kennedy Curse ".
Wengi wakiamini vifo vya ajabu vilivyoikumba baadhi ya wanafamilia wa Familia hiyo ni Mkosi au Laana.
Akhsante mkuuuSina la ziada tukutane kesho, maana kesho ni siku kubwa sana.
Kwa udhamini mnono wa Team Weka Picha. Tukutane kesho.
HahahaAaliyah walimuua kabisa
Moja ya viongozo walio kuwa viongozi haoooNUKUU NO 1#
Sanaa ya Uongozi au sifa kuu ya kiongozi mzuri ni uwezo wa kusema "hapana" na si ndiyo'.
Ni rahisi kusema "ndiyo" kuliko kusema hapana.
Wakati mwingine ni vyema kukubali kushindwa ukawa umetenda sahihi kuliko kukazania kushinda ukawa umetenda hovyo.
Haya maneno yalisemwa na waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair.
Alizaliwa Mei 6,huko Edinburgh, Scotland. Alikuwa kiongozi wa Chama cha Labour kuanzia mwaka 1997 hadi Juni 2007.
Ndiye mwingereza wa kwanza kushika Uongozi wa Chama cha Labour akiwa na umri Mdogo
Mwalimu alikiwa ni moja ya viongozi wachche duniani wanao soma sanaaNUKUU NO 2#
Kansa ya Uongozi ndani ya CCM isingekuwa ni jambo la kutisha sana kama tungekuwa tumeanza kuona Chama kizuri cha upinzani kinachoweza kuiongoza nchi yetu badala ya CCM.
Ubovu wa Uongozi ndani ya CCM ndio uliofanya nikapendekeza tuanzishe mfumo wa vyama vingi.
Nilitumaini kuwa tunaweza kupata Chama kingine kizuri ambacho kingeweza kuiongoza nchi yetu badala ya CCM au ambacho kingekilazimisha CCM kusafisha Uongozi wake kwa kuhofia kuwa bila kufanya hivyo kitashindwa katika uchaguzi ujao.
Lakini bado sijakiona Chama makini cha upinzani, wala dalili zozote za kuondoa kansa ya Uongozi ndani ya CCM.
Ni maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, kama yalivyo katika kitabu chake kinachoitwa Uongozi wetu na hatima ya Tanzania alichokiandika mwaka 1994.
Mwalimu alifariki Oct 14,1999
Kuna kufa tu siku zako zimefika, na Kuna kufa kwa technic za binadamuHahaha
Sema alifariki hakuna alo muua
Age ain't nothing but a number - Aaliyah
Sema ndio hivyo tu ila aliwahi sana kuondoka jamani
Are u that somebody - Aaliyah
The PrinceNUKUU NO 3#
Kama haiwezekani ukaogopwa na kupendwa kwa wakati mmoja, basi ni heri uogopwe kuliko kupendwa.
Kwa hakika, ni jambo jema kwa binadamu kuogopwa kuliko kupendwa.
Haya yalitamkwa na mwanafalsafa wa kale wa Italy. Niccolo Machiavelli.
Alizaliwa huko Florence mnamo Mei 3,1469 na kufariki Dunia katika mji huo huo.
Machiavelli, ambaye alikuwa pia mwanadiplomasia, aliandika kitabu chake cha kwanza mwaka 1499 kinachoitwa Discourse on Pisa.
Hata hivyo kitabu chake maarufu na kinachosomwa na watu wengi mpaka sasa kinaitwa The prince na alikiandika mwaka 1513
AaaahNUKUU NO 4#
Kuna watu wanafikiri pengine hii kazi (urais) ni rahisi lakini kama unawapenda watu wako na unaumizwa na hali zao na unapenda uwavushe, hii si kazi rahisi.
Umekuja huku nje ya nchi na umeona mchakamchaka wa mikutano.
Usiku wa kuamkia leo nimepata usingizi saa11alfajiri na bado nina mambo mengine ya kufanya usiku huu.
Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya nne Jakaya Kikwete, wakati wa mahojiano na waandishi wa habari.
ShukrieSina la ziada, nukuu za leo zimeletwa kwenu kwa hisani ya kipa wa arsenal aka mzee wa top ten, kwaherini
Jembeeeeeee
Ndo kufa na kwenyewe sasaKuna kufa tu siku zako zimefika, na Kuna kufa kwa technic za binadamu