Makapuku Forum

Makapuku Forum

10, Atlantic Slave Trade- vifo vya watu milioni 15
1472144909662.jpg
1472144918939.jpg

Hatarii kama ulikuwa una soma histori nadhani unajua hili, kuwa karne ya 16-17,watu walichukuliwa kutoka afrika na kupelejwa marekani kuwa watumwa baada ya wahindi wekundu kuwa hawana nguvu, wazungu walitaka sana hela , so watu wa afrika walikuwa wana faa zaid kwa kaz hzo za shuruti
Hapo juu nimeonesha meli iliyp kuwa iki chukua watumwa meli zilzo takiwa kichukua watu 100 zilibeba watumwa zaid ya 400, hvo wengi walifia baharini , na wengi walikufa kwa kukosa hewa na kuumwa magonjwa ya kuambukiza ina kadiriwa kuwa katika watumwa kumi walio panda meli hiyo watumwa 4 walifia njia hawakifika Amerika
 
9, Vita ya mwisho ya Yuan & kuundwa kwa Ming Dynasty
Makadirio ya vifo: 30 Million
1472145329315.jpg
ukok wa kifalme wa Yuan ulianzishwa na Khuban Khan mjukuu wa Ghengis Khan mwaka 1260, na Yuan maana ake "iliyo kuu na iliyo tukuka" japo ukoo huo hata hauku tukuka, the issue is ulikaa milenia moja tuu kwani mwaka 1380 ufalme uligawanyika , na kukawa na vita, njaa na magonhwa hasa tauni, pia watu wa kawaida wali uana sana kipindi hiko na wana historia wana kiita kipindi hiki ni cha “one of the greatest eras of orderly government and social stability in human history.”
 
2001 - Aaliyah afariki Dunia.

Alikuwa ni mwimbaji hodari wa muziki, Dansa, msanii wa filamu toka nchini Marekani.

Alishiriki katika filamu ya Romeo must die ya Jet Lee.

Siku kama ya leo Dunia ilimpoteza mrembo huyo akiwa na miaka 22 tu, baada ya kutokea kwa ajali ya ndege huko Bahamas.

Apumzike kwa amani, nilikuwa namkubali sana.

Dedication Song: See U When U get There by Coolio.
Jamani..., halafu naskia alikuwa akiuogopa sana usafiri wa anga.
 
2009 - Senator Ted Kennedy anafariki Dunia.

Alikuwa ni Senator wa Massachusetts.

Alikuwa ni mdogo wa Mwisho wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy.

Ni miongoni mwa wanafamilia wachache wa Familia ya Kennedy kufa kifo cha kawaida.

Nitawaletea Laana/ Mkosi wa Familia ya Kennedy " The Kennedy Curse ".

Wengi wakiamini vifo vya ajabu vilivyoikumba baadhi ya wanafamilia wa Familia hiyo ni Mkosi au Laana.
Kuna mtu aliwa Curse nadhani
 
8, An Lushan Rebellion
makadirio ya vifo: 36 Million
1472145794833.jpg
sasa karibu miaka 500,kabla ya ufalme wa Yuan , ulikuepo ufalme wa Tang, sasa An Lushan alikiwa ni jenerali ambaye alitaka kupindua serikali ili awe mfalme yeye , na kwa miaka karibu 12 yaan mwaka 755-763 AD, ilikuwa ni full vita hapo na watu walio kufa wana zidi milioni 30 , kutokea hapo ufalme Tang ndio ukawa umeanguka moja kwa moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom