Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Coolio - See you when you get there
Huu wimbo unatisha hata kuuangalia unanikumbusha majanga tu.
Coolio - See you when you get there
Itakuwa vizuriHahaha huko ndo kijiweni kwangu karibu
Hivi mkulu kina nani wanamzunguka???
Obrigado
Mtu wa muhimu wewe hapa mkuu

Walimu wa zamani walikuwa na busara sana na hekima sijui wa leo...ila nadhani bado wapo.NUKUU NO 2#
Kansa ya Uongozi ndani ya CCM isingekuwa ni jambo la kutisha sana kama tungekuwa tumeanza kuona Chama kizuri cha upinzani kinachoweza kuiongoza nchi yetu badala ya CCM.
Ubovu wa Uongozi ndani ya CCM ndio uliofanya nikapendekeza tuanzishe mfumo wa vyama vingi.
Nilitumaini kuwa tunaweza kupata Chama kingine kizuri ambacho kingeweza kuiongoza nchi yetu badala ya CCM au ambacho kingekilazimisha CCM kusafisha Uongozi wake kwa kuhofia kuwa bila kufanya hivyo kitashindwa katika uchaguzi ujao.
Lakini bado sijakiona Chama makini cha upinzani, wala dalili zozote za kuondoa kansa ya Uongozi ndani ya CCM.
Ni maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, kama yalivyo katika kitabu chake kinachoitwa Uongozi wetu na hatima ya Tanzania alichokiandika mwaka 1994.
Mwalimu alifariki Oct 14,1999
Age ain't nothing but a number - Aaliyah
Sema ndio hivyo tu ila aliwahi sana kuondoka jamani
R.I.PNUKUU NO 3#
Kama haiwezekani ukaogopwa na kupendwa kwa wakati mmoja, basi ni heri uogopwe kuliko kupendwa.
Kwa hakika, ni jambo jema kwa binadamu kuogopwa kuliko kupendwa.
Haya yalitamkwa na mwanafalsafa wa kale wa Italy. Niccolo Machiavelli.
Alizaliwa huko Florence mnamo Mei 3,1469 na kufariki Dunia katika mji huo huo.
Machiavelli, ambaye alikuwa pia mwanadiplomasia, aliandika kitabu chake cha kwanza mwaka 1499 kinachoitwa Discourse on Pisa.
Hata hivyo kitabu chake maarufu na kinachosomwa na watu wengi mpaka sasa kinaitwa The prince na alikiandika mwaka 1513
Hayo maneno bado sijayapata kwenye nyimbo zake ninazozifahamu au Back and forth??Hivi ule wenye maneno ....shoulder to cry on....unaitwaje?
Mwambie bwamdogoKuna kufa tu siku zako zimefika, na Kuna kufa kwa technic za binadamu
HahahaNUKUU NO 4#
Kuna watu wanafikiri pengine hii kazi (urais) ni rahisi lakini kama unawapenda watu wako na unaumizwa na hali zao na unapenda uwavushe, hii si kazi rahisi.
Umekuja huku nje ya nchi na umeona mchakamchaka wa mikutano.
Usiku wa kuamkia leo nimepata usingizi saa11alfajiri na bado nina mambo mengine ya kufanya usiku huu.
Maneno haya yalisemwa na aliyekuwa Rais wa Tanzania awamu ya nne Jakaya Kikwete, wakati wa mahojiano na waandishi wa habari.
Asante sana na barikiwa...Sina la ziada, nukuu za leo zimeletwa kwenu kwa hisani ya kipa wa arsenal aka mzee wa top ten, kwaherini
Hadi wakampachika jinaAaaah
Alikuwa ana shinda kwenye ndege tuu naye mweer!!
4, Soviet Crimes
Makadirio ya vifo: 49 Million View attachment 387612baada ya mapinduxi ya oktba mwaka 1917, urusi ilikuja kuingia kwenye oja wa kisovieti, na jambo la kwanza lililo ikumba nchi hiyo kuanzia 1917 at least mpaka 1924,ilikuwa ni njaa kubwa, nchi ilitoka kwenye vita na baadhi ya maeneo vita iliendela , njaa ilikuwa kubwa na wakawepo watu wala watu (cannibalism ilikuwa ile ya kiwango cha juu) lakini baada ya. Machafuko madogo madogo hayo yana kadiriwa kuua watu milioni 19 tuu, Joseph Stallin pekee kuanzia mwaka 1924-1953,ana kadiriwa kusababisha vifo vya wa soviet milioni 30, kwani kwanza ilibidi achukue madaraka kwa nguvu, aliwaua maadui zake hata walio kuwa nje ya nchi, walio mgomea waliuawa sana, wengine walipelekwa kwenye labor camps kwaa ajilo ya kufanya kaz za mateso, inakadiriwa kwa kila miaka kumi aliyo ongoza Soviet ilipiga maendelo ya miaka hamsini kwa nchi ya kawaida, mfano mwaka 1931-37 watu waitwao wa kulaks takriban milioni 5 waliuwa huko Ukrain pekee, wakati zaid ya watu milioni 14. 5 waliuwa kwa miaka 7. Mingine, walio kuwa matajiri walifukuzwa nchini, au wali pelekwa labor camps( kwa ajili umya kujenga reli, barabara, mabomba ya mafuta, magereza na majengo mbali mbali.
Japo alisadia sana ushindi wa vita ya pili ya dunia, bwana Joseph Stallin alileta maendeleo ila yalipatikana kwa machozi , jasho na damu
History ni tamu sanaHiyo picha ya chini inaoneshwa watumwa walivo kuwa wana pangwa wakiwa kwenye meli hvo ilikuwa ni ngumu ku survive