Makapuku Forum

Makapuku Forum

2001 - Aaliyah afariki Dunia.

Alikuwa ni mwimbaji hodari wa muziki, Dansa, msanii wa filamu toka nchini Marekani.

Alishiriki katika filamu ya Romeo must die ya Jet Lee.

Siku kama ya leo Dunia ilimpoteza mrembo huyo akiwa na miaka 22 tu, baada ya kutokea kwa ajali ya ndege huko Bahamas.

Apumzike kwa amani, nilikuwa namkubali sana.

Dedication Song: See U When U get There by Coolio.
 
2009 - Senator Ted Kennedy anafariki Dunia.

Alikuwa ni Senator wa Massachusetts.

Alikuwa ni mdogo wa Mwisho wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy.

Ni miongoni mwa wanafamilia wachache wa Familia ya Kennedy kufa kifo cha kawaida.

Nitawaletea Laana/ Mkosi wa Familia ya Kennedy " The Kennedy Curse ".

Wengi wakiamini vifo vya ajabu vilivyoikumba baadhi ya wanafamilia wa Familia hiyo ni Mkosi au Laana.
 
Brazil kumbe ilikuwa na koloni!!!
Yap, walikuwa vizuri sana.

Ndio maana Brazil ilipofungwa na Uruguay katika fainali ya kombe la Dunia mwaka 1950, ambapo Brazil walikuwa wenyeji hawakuwahi kumsamehe kipa wao aliyesababisha Uruguay kupata goli la ushindi hivyo Brazil akafa 2-1.

Inaaminika kipa yule alitengwa sana kisa tu Uruguay kubeba ndoo mbele ya baba zao.

Kipa yule aliitwa Barbosa nadhani.
 
2001 - Aaliyah afariki Dunia.

Alikuwa ni mwimbaji hodari wa muziki, Dansa, msanii wa filamu toka nchini Marekani.

Alishiriki katika filamu ya Romeo must die ya Jet Lee.

Siku kama ya leo Dunia ilimpoteza mrembo huyo akiwa na miaka 22 tu, baada ya kutokea kwa ajali ya ndege huko Bahamas.

Apumzike kwa amani, nilikuwa namkubali sana.

Dedication Song: See U When U get There by Coolio.
Bonge la wimbo!!!....ila sina mpango wa kufa-by Mr. Ebbo-R.I.P.
 
2009 - Senator Ted Kennedy anafariki Dunia.

Alikuwa ni Senator wa Massachusetts.

Alikuwa ni mdogo wa Mwisho wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy.

Ni miongoni mwa wanafamilia wachache wa Familia ya Kennedy kufa kifo cha kawaida.

Nitawaletea Laana/ Mkosi wa Familia ya Kennedy " The Kennedy Curse ".

Wengi wakiamini vifo vya ajabu vilivyoikumba baadhi ya wanafamilia wa Familia hiyo ni Mkosi au Laana.
Unitag au kuni-mention asee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom