Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Thanks Musso.Sina la ziada tukutane kesho, maana kesho ni siku kubwa sana.
Kwa udhamini mnono wa Team Weka Picha. Tukutane kesho.
Thanks Musso.Sina la ziada tukutane kesho, maana kesho ni siku kubwa sana.
Kwa udhamini mnono wa Team Weka Picha. Tukutane kesho.
....I didn't know this....thanks againYap, walikuwa vizuri sana.
Ndio maana Brazil ilipofungwa na Uruguay katika fainali ya kombe la Dunia mwaka 1950, ambapo Brazil walikuwa wenyeji hawakuwahi kumsamehe kipa wao aliyesababisha Uruguay kupata goli la ushindi hivyo Brazil akafa 2-1.
Inaaminika kipa yule alitengwa sana kisa tu Uruguay kubeba ndoo mbele ya baba zao.
Kipa yule aliitwa Barbosa nadhani.
Na simu zilibatizwa twanga pepetaUmenikumbusha Mzee wa Farasi!! Yupo hai bhana.
Nani anakumbuka kuna viatu flani hivi vilibatizwa jina la ali choki?
Kisa kilikuwa ni nini1961 - Rais Janio Quadros wa Brazil anajiuzulu Urais baada kutumikia wadhifa huo kwa miezi saba tu.
Aaliyah walimuua kabisa2001 - Aaliyah afariki Dunia.
Alikuwa ni mwimbaji hodari wa muziki, Dansa, msanii wa filamu toka nchini Marekani.
Alishiriki katika filamu ya Romeo must die ya Jet Lee.
Siku kama ya leo Dunia ilimpoteza mrembo huyo akiwa na miaka 22 tu, baada ya kutokea kwa ajali ya ndege huko Bahamas.
Apumzike kwa amani, nilikuwa namkubali sana.
Dedication Song: See U When U get There by Coolio.
Asante mussolin na kesho ni maandalio ya SabatoSina la ziada tukutane kesho, maana kesho ni siku kubwa sana.
Kwa udhamini mnono wa Team Weka Picha. Tukutane kesho.
Si Siemens?Na simu zilibatizwa twanga pepeta
I think soAaliyah walimuua kabisa
2001 - Aaliyah afariki Dunia.
Alikuwa ni mwimbaji hodari wa muziki, Dansa, msanii wa filamu toka nchini Marekani.
Alishiriki katika filamu ya Romeo must die ya Jet Lee.
Siku kama ya leo Dunia ilimpoteza mrembo huyo akiwa na miaka 22 tu, baada ya kutokea kwa ajali ya ndege huko Bahamas.
Apumzike kwa amani, nilikuwa namkubali sana.
Dedication Song: See U When U get There by Coolio.
2009 - Senator Ted Kennedy anafariki Dunia.
Alikuwa ni Senator wa Massachusetts.
Alikuwa ni mdogo wa Mwisho wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy.
Ni miongoni mwa wanafamilia wachache wa Familia ya Kennedy kufa kifo cha kawaida.
Nitawaletea Laana/ Mkosi wa Familia ya Kennedy " The Kennedy Curse ".
Wengi wakiamini vifo vya ajabu vilivyoikumba baadhi ya wanafamilia wa Familia hiyo ni Mkosi au Laana.
WangemuESCOBARYap, walikuwa vizuri sana.
Ndio maana Brazil ilipofungwa na Uruguay katika fainali ya kombe la Dunia mwaka 1950, ambapo Brazil walikuwa wenyeji hawakuwahi kumsamehe kipa wao aliyesababisha Uruguay kupata goli la ushindi hivyo Brazil akafa 2-1.
Inaaminika kipa yule alitengwa sana kisa tu Uruguay kubeba ndoo mbele ya baba zao.
Kipa yule aliitwa Barbosa nadhani.
Sio hiyo, Ile pana mkononiView attachment 387502 Shululu, hivi ndio hii???
Ya kwanza kushoto kwako.View attachment 387503 Muda unakimbia sana!!!
Tinga tingaUmenikumbusha Mzee wa Farasi!! Yupo hai bhana.
Nani anakumbuka kuna viatu flani hivi vilibatizwa jina la ali choki?