Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje, si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua...

.........
 
Dikteta yupo vizuri kichwani inaonyesha ni msomi & mpekenyuzi na "leo ktk historia " anaandika kijanja sana
Binafsi nimehamasika kufuatilia ishu nyingi kila siku anapozipost mfano issue ya John Kennedy ,CIA n.k
.......
Dikteta yuko njema sana anatuletea vitu adimu, yaani kwa Kifupi kila mtu anaitendea haki Segment yake na binafsi naona inaleta mvuto sana kila siku mada hazikosekani, Viva Kapukuz!!
 
Kawaulize.....tena wangekomaa now Mchawi angekuwa out Top Ten

Kawaida binadamu tuna asili ya wivu & roho ya kwanini hivyo palipo na wengi hapakosekani wazee wa wivu mfn yule aliyekuwa akijiita Kapuku mkongwe/mzee alisepa kimyamimya baada ya kuona kuna madogo wanamporomosha kwenye ile list so akaonekana kuchukia na kusepa bila kuaga now anahangaika kupiga sfori chitchat hapahapa
Sio wote waliofurahia thread kusonga mbele
...............
Ni kweli aisee na sijui ni kwanini...
 
Twanga photo
1472119642536.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom