Makapuku Forum

Makapuku Forum

uploadfromtaptalk1472068436414.png
 
Kabsaaa

Mi uwa namkubali bwana dikteta, kwenye polifix yuko fresh, sku nyngne had MMU una mkuta
Yet haja wahi kuonekana aki tu diss ndugu zake hapa, yaan fureshiii
Dikteta yupo vizuri kichwani inaonyesha ni msomi & mpekenyuzi na "leo ktk historia " anaandika kijanja sana
Binafsi nimehamasika kufuatilia ishu nyingi kila siku anapozipost mfano issue ya John Kennedy ,CIA n.k
.......
 
Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje, si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua...

.........
 
Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje, si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua...

.........
Akae tu songea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom