Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli mkuu yaan hata hizi vurugu za UKUT ni kwa kuwa kuna watu wana taka madaraka mnoo
Sasa si bora tuwape moja kwa moja ielekewe wao ndo wata tawala tuu
Inategemea....kuna wengine wakipata hiyo chance ndo huanza visa
Mi naona mfumo wa MULTIPARTY DEMOCRACY ufutwe kibaki CCM tu under KINGDOMSHIP
Naona mauzauza tu

..........
.
 
Hahahaa
Nadhan kuna shda zaid ya hiyo, ntawaibukia kiwaulza
Kawaulize.....tena wangekomaa now Mchawi angekuwa out Top Ten

Kawaida binadamu tuna asili ya wivu & roho ya kwanini hivyo palipo na wengi hapakosekani wazee wa wivu mfn yule aliyekuwa akijiita Kapuku mkongwe/mzee alisepa kimyamimya baada ya kuona kuna madogo wanamporomosha kwenye ile list so akaonekana kuchukia na kusepa bila kuaga now anahangaika kupiga sfori chitchat hapahapa
Sio wote waliofurahia thread kusonga mbele
...............
 
FIX ZA BITOZ:
Enzi hizo nikiwa standard three Mabibo Beach Primary School nikirokea Chokambaya family na masela kibao tulikuwa tunadharaulika (si mnajua akili za kiroto)......basi kuna kidemu kinatokea Uzunguni full nyodo na kina maringo zaidi ya 7 ,full mashauzi,kinajifanya karembo na kasafi class zima kila siku uniform inang'aa imepigwa pasi na class hakafagii ole wako ukaguse

Sasa one dei tukiwa kwenye ule wimbo wetu wa "stand up sit down X 2,we are X 3,.stand up sit down"...... Si ile tunanyanyuka sketi yake ikamvuka na kubaki na chupi lake chafu lenye matobo kibao utafikiri imeng'atwa na panya....ikawa bonge la soo kumbe yy ni msafi wa maonyesho tu
Tangu siku hiyo alipunguza nyodo

***************""""
 
Eee
Umeongea la maana iwe kama china wewe kama unataka siasa ingia CCM huko huko mkapambane, then si wana nchi tuna taka huduma tuu
Tatizo waafrika tuna matumbo makubwa(wabinafsi/mafisadi)
Huku wanaitafuna tu nchi huduma muhimu hakuna samtaimu nikiendaga kijijini siamini....miaka 50+ ya uhuru barabara full vumbi,umeme majanga,zahanati uchwara,no pembejeo
Duh acha tu
............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom