Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Alaa kumbe!!Hahaha
Sasa domo hana kashfa ila wa tz ukifanikiwa wanaoenda ushuke
Sasa lenon alifanikiwa ana akawa ana tema shits tuuu
Ila jamaa alikuwa anajua...
Alaa kumbe!!Hahaha
Sasa domo hana kashfa ila wa tz ukifanikiwa wanaoenda ushuke
Sasa lenon alifanikiwa ana akawa ana tema shits tuuu
Eashajiona madtaa 7bu wana maLIKES......Wakianza kupotezwa na kina Ngedsre ndo watapata akiliHahaha
Ningewabembeleza kama ningejua kitakacho wafanya wabembelezeke
MadtaaEashajiona madtaa 7bu wana maLIKES......Wakianza kupotezwa na kina Ngedsre ndo watapata akili
![]()
![]()
![]()
..............
Inategemea....kuna wengine wakipata hiyo chance ndo huanza visaKweli mkuu yaan hata hizi vurugu za UKUT ni kwa kuwa kuna watu wana taka madaraka mnoo
Sasa si bora tuwape moja kwa moja ielekewe wao ndo wata tawala tuu
Yaaan alikuwa kama Bolt hvi kelele nyingiii tet ana fanikiwaAlaa kumbe!!
Ila jamaa alikuwa anajua...
HahahaaEashajiona madtaa 7bu wana maLIKES......Wakianza kupotezwa na kina Ngedsre ndo watapata akili
![]()
![]()
![]()
..............

HahaKusupia
EeeInategemea....kuna wengine wakipata hiyo chance ndo huanza visa
Mi naona mfumo wa MULTIPARTY DEMOCRACY ufutwe kibaki CCM tu under KINGDOMSHIP
Naona mauzauza tu
![]()
![]()
![]()
..........
.
Kawaulize.....tena wangekomaa now Mchawi angekuwa out Top TenHahahaa
Nadhan kuna shda zaid ya hiyo, ntawaibukia kiwaulza![]()
![]()
![]()
FIX ZA BITOZ:
Enzi hizo nikiwa standard three Mabibo Beach Primary School nikirokea Chokambaya family na masela kibao tulikuwa tunadharaulika (si mnajua akili za kiroto)......basi kuna kidemu kinatokea Uzunguni full nyodo na kina maringo zaidi ya 7 ,full mashauzi,kinajifanya karembo na kasafi class zima kila siku uniform inang'aa imepigwa pasi na class hakafagii ole wako ukaguse
Sasa one dei tukiwa kwenye ule wimbo wetu wa "stand up sit down X 2,we are X 3,.stand up sit down"...... Si ile tunanyanyuka sketi yake ikamvuka na kubaki na chupi lake chafu lenye matobo kibao utafikiri imeng'atwa na panya....ikawa bonge la soo kumbe yy ni msafi wa maonyesho tu
Tangu siku hiyo alipunguza nyodo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
***************""""

Tatizo waafrika tuna matumbo makubwa(wabinafsi/mafisadi)Eee
Umeongea la maana iwe kama china wewe kama unataka siasa ingia CCM huko huko mkapambane, then si wana nchi tuna taka huduma tuu
Hapa stress free zoneDuuh! Hii kitu nilikuwa naikosa vipi?
VutaVita![]()
![]()
![]()
No1Ahsante kipa wa Arsenal.
Bila shaka ni kigiriki hikoHaha
Eeh ame supia
Hapa Katia foraMi mwenyewe kaniacha hoiView attachment 387116
Jana ulificha simu ya Ankali na nakumbuka ulisema Kuna mtu anakusumbua, baada ya top ten ukapotea jumlaKwa lipi mjomba
Asante His ExcellentHapa stress free zone
Karibu
........