Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kawaulize.....tena wangekomaa now Mchawi angekuwa out Top Ten

Kawaida binadamu tuna asili ya wivu & roho ya kwanini hivyo palipo na wengi hapakosekani wazee wa wivu mfn yule aliyekuwa akijiita Kapuku mkongwe/mzee alisepa kimyamimya baada ya kuona kuna madogo wanamporomosha kwenye ile list so akaonekana kuchukia na kusepa bila kuaga now anahangaika kupiga sfori chitchat hapahapa
Sio wote waliofurahia thread kusonga mbele
...............
Hahahaha

A rest in ertenal peace

Binadamu hukutana na kuachana
 
1472066583404.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom