shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Sana aisee, maana maneno yake yanaishi mpaka keshoNyerere alikuwa na akili sana
Sana aisee, maana maneno yake yanaishi mpaka keshoNyerere alikuwa na akili sana
Chuki binafsi tu hizo na tunakulagaaaaa....![]()
AaaahImooooooooo....tuliofeli
Usilale mapema sana bwana...Nlijua hampo
Asa nge fanyaje![]()

Uongo....!! nnavyopenda kucheka ntasex na wangapi![]()

Mpaka hapa chadema ni washindi
%HahahaMpaka hapo Sina la ziada, kwa udhamini mnono wa UKUTA nawatakieni jioni njema
Sana aisee, maana maneno yake yanaishi mpaka kesho
Huyo Njonjo ndiyo alizuia ndege zote Kenya, siku jumuiya ilipovunjika, Nyerere akachezwa machale naye akazuiya meri zote zilizokuwa Tanzania hakuna kuondoka na ndege zilizokuwepo, japo nyingi zilikuwa upande wa Kenya, Uganda wao walibakiwa na vichwa vya treni na mabehewa machache, mengi yalikuwa Tanzania
Hahahah
Dikteta uchwara akili ndogo...si wangekomaa na majambaziMpaka hapa chadema ni washindi%
DuuuhHii App...inaninyima haki yangu ya msingi, yani sasa ndio nafungua magazeti kweli..kweli!?
Thanks kwa magazeti Jimenna. Missing you![]()
Rais anapigana na wananchi wakeDikteta uchwara akili ndogo...si wangekomaa na majambazi
![]()
![]()
![]()
.......
Ndo tumenunua vindege vya pangabpya![]()
![]()
![]()
![]()
Kwenye ndege ndo walitupiga mkuu na hadi leo hatuez wafkia kenya air ways
Alaf ungekuja mapema ata nsnge lalaUsilale mapema sana bwana...![]()