Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sana aisee, maana maneno yake yanaishi mpaka kesho
1471959316599.jpg

Sio Lodilofa
......
 
Huyo Njonjo ndiyo alizuia ndege zote Kenya, siku jumuiya ilipovunjika, Nyerere akachezwa machale naye akazuiya meri zote zilizokuwa Tanzania hakuna kuondoka na ndege zilizokuwepo, japo nyingi zilikuwa upande wa Kenya, Uganda wao walibakiwa na vichwa vya treni na mabehewa machache, mengi yalikuwa Tanzania

Kwenye ndege ndo walitupiga mkuu na hadi leo hatuez wafkia kenya air ways
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom