Makapuku Forum

Makapuku Forum

1471957758488.jpg
 
NUKUU NO 3#

Sio siri kwamba mimi si mtu mnafiki. Sio siri kwamba kuvunjika kwa jumuiya ya Africa mashariki kulinifurahisha sana.
Sikuwa naipenda kabisa jumuiya hiyo, na sikuficha mawazo yangu hayo na hisia zangu hizo.

Haya yalitamkwa na mwasheria maarufu wa zamani wa Kenya, sir Charles Njonjo ndani ya bunge la nchi hiyo, Julai 6,1977.

Njonjo ambaye alihusishwa mno na kifo cha jumuiya hiyo, alitaka watanzania wote ambao walikuwa wakifanya kazi katika jumuiya hiyo upande wa Kenya waamriwe kuondoka mara moja
 
NUKUU NO 3#

Sio siri kwamba mimi si mtu mnafiki. Sio siri kwamba kuvunjika kwa jumuiya ya Africa mashariki kulinifurahisha sana.
Sikuwa naipenda kabisa jumuiya hiyo, na sikuficha mawazo yangu hayo na hisia zangu hizo.

Haya yalitamkwa na mwasheria maarufu wa zamani wa Kenya, sir Charles Njonjo ndani ya bunge la nchi hiyo, Julai 6,1977.

Njonjo ambaye alihusishwa mno na kifo cha jumuiya hiyo, alitaka watanzania wote ambao walikuwa wakifanya kazi katika jumuiya hiyo upande wa Kenya waamriwe kuondoka mara moja
1471958086710.jpg
 
Huyo Njonjo ndiyo alizuia ndege zote Kenya, siku jumuiya ilipovunjika, Nyerere akachezwa machale naye akazuiya meri zote zilizokuwa Tanzania hakuna kuondoka na ndege zilizokuwepo, japo nyingi zilikuwa upande wa Kenya, Uganda wao walibakiwa na vichwa vya treni na mabehewa machache, mengi yalikuwa Tanzania
 
Huyo Njonjo ndiyo alizuia ndege zote Kenya, siku jumuiya ilipovunjika, Nyerere akachezwa machale naye akazuiya meri zote zilizokuwa Tanzania hakuna kuondoka na ndege zilizokuwepo, japo nyingi zilikuwa upande wa Kenya, Uganda wao walibakiwa na vichwa vya treni na mabehewa machache, mengi yalikuwa Tanzania
Wakenya wajanja long time

.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom