Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
AaaaKwanza watu wenyewe wasongo kudunda tu hamna lolote
Mtuache wasongokaji bhana
AaaaKwanza watu wenyewe wasongo kudunda tu hamna lolote
I hope mi sio kivuruge...She needs me babe(at least for now)

Utaelewaje sasa??Mweer!!!
Sjaelewa apo
Ok my kuvR I P in advance my sweet cuzzo
(In Case kama lolote litatokea basi uende ukijua ya kwamba i will always love you)
Ha ha ha haI hope mi sio kivuruge...![]()
Hahaha umenikumbusha mbali sana...enzi za kuandika miziki ya kina Britney spearsSasa niwe msongo miziki ntaandika saa ngapi??
Hahahaha....Hahaha
Hapo uwa nakuwa nimikasirika
Uki iona tuu![]()
Jua sja penda hlo tukio
HahahahaMamaa weeeeee....uwiiiii naumia mbavu huku. Usiende ukuta bwana ukifa nani atanifariji
? utamuacha Jimena mjane kweli!!
.

AaahUtaelewaje sasa??
Please don't go...please i beg of youOk my kuv
Plz briz staki aje kwa msiba, umwambie mkwe shululu ahakikishe hilo
I luv u, ila ili watt wetu waje waish kwenye nchi huru some of us must go and shed blood at least

, watakuwakilisha wengine wewe usije enda watakuvunja kiuno hicho.Na wewe ulikuwa na daftar ako ee!!?Hahaha umenikumbusha mbali sana...enzi za kuandika miziki ya kina Britney spears
Na sweetiepie nae asikanyage. Ikitokea ukampa chochote kile basi jua ya kuwa Briz atakuja kuzikaOk my kuv
Plz briz staki aje kwa msiba, umwambie mkwe shululu ahakikishe hilo
I luv u, ila ili watt wetu waje waish kwenye nchi huru some of us must go and shed blood at least
Mbwa. Zako zitanisaidia nini? Sisi hatuli mbwa au nizilawitiHahahaha
Jamaa wana fanya hadi mazoez mweer
WOSIA
Jimena utachukua nyumba ya dar, na account ya Barclays ataendeleza
Bitoz atachukua mbwa zangu mbili, nlizo nunua Iringa
Mussolin nna kofia za ma cowboy nlinunua texas zko tano JJ atakupa
Briz hapati kitu(na kwenye msiba asije)
Mkwe shululu, ata chukua gari yangu ndogo
Werrason Cd zangu za miziki ya kongo zoote achukue(JJ atampa)
Quigley ng'ombe mmoja wa maziwa(JJ ata mkabidhi)
Swt P ntamkabidhi mwenye vitu nnavo taka apate,(svitaji, ye ndio ata jua) kabla sja enda kwenye maandamano
Ni mimi Szczesny Carrenza
Mbeleye ya mwana sheria namkabidhi wosia huu utekelezwe mara baada ya maandamano ikiwa lolote lita nitokea
Muishi kwa amani msigombane

Ht mm kuna vitu inasumbua....mtu akiquote attachment zangu hazifunguki zinasema THREAD DELETED na magumashi mengine kibaoHivi jamani na nyie wenzangu application inawazingua au mimi tu?? Hapa natumia browser
Notification zote napata ila page haifunguki
Aaaah, ahsante kwa kujaliPlease don't go...please i beg of you, watakuwakilisha wengine wewe usije enda watakuvunja kiuno hicho.
Kuna ticha alituambia ili tufahamu kiingereza eti tuwe tunafuatilia miziki ya mbele, movies, Cartoon, Novels na tamthiliya za kingereza pia, sa sina uhakika kama kuna ukweli ama ni juhudi zingine tu za mtu binafsi.Na wewe ulikuwa na daftar ako ee!!?
Hahahaha
Hata wewe ntakuacha mjane
Aaah sor mekosea
![]()
![]()