Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
App iko back and forth....haielewekiHivi jamani na nyie wenzangu application inawazingua au mimi tu?? Hapa natumia browser
Notification zote napata ila page haifunguki
HahahahaAndika wosia kabisa.
HahahaJamani 'Lo siento mucho mwaya wee...mi mwenyewe nilifeli hesabu vibaya sana hadi sitaki kukumbuka.

She needs me babe(at least for now)Eti?? 😵
Huu ushamba ndo sha kubaliana nao kabsaaMimi nilisoma masomo 7 tu.
Ila kwanzia mwakani wanaisoma namba wote sayansi.
Mbona mi iko poa tuuHivi jamani na nyie wenzangu application inawazingua au mimi tu?? Hapa natumia browser
Notification zote napata ila page haifunguki
Mi sikumbuki kabisa kama kuna kipindi niliwahi kuwa msongo shuleWe call it, Kusoma kipaji kufaulu mipango.
Mwenzio nlikuwa nsipo songoka ndo nme umiaMi sikumbuki kabisa kama kuna kipindi niliwahi kuwa msongo shule
Sasa nihamie wapi??Mbona mi iko poa tuu
Nyie mitandao yenu hiyoo
Muhamee
Sasa iwe hivi ......She needs me babe(at least for now)
In Szczesny's smile..Lyk.....![]()
Aaah u kno

Kwanza watu wenyewe wasongo kudunda tu hamna loloteMi sikumbuki kabisa kama kuna kipindi niliwahi kuwa msongo shule
Mhhh....Mwenzio nlikuwa nsipo songoka ndo nme umia
Hahahaha
Jamaa wana fanya hadi mazoez mweer
WOSIA
Jimena utachukua nyumba ya dar, na account ya Barclays ataendeleza
Bitoz atachukua mbwa zangu mbili, nlizo nunua Iringa
Mussolin nna kofia za ma cowboy nlinunua texas zko tano JJ atakupa
Briz hapati kitu(na kwenye msiba asije)
Mkwe shululu, ata chukua gari yangu ndogo
Werrason Cd zangu za miziki ya kongo zoote achukue(JJ atampa)
Quigley ng'ombe mmoja wa maziwa(JJ ata mkabidhi)
Swt P ntamkabidhi mwenye vitu nnavo taka apate,(svitaji, ye ndio ata jua) kabla sja enda kwenye maandamano
Ni mimi Szczesny Carrenza
Mbeleye ya mwana sheria namkabidhi wosia huu utekelezwe mara baada ya maandamano ikiwa lolote lita nitokea
Muishi kwa amani msigombane
Mweer!!!Sasa iwe hivi ......
Chagua moja
Sasa niwe msongo miziki ntaandika saa ngapi??Kwanza watu wenyewe wasongo kudunda tu hamna lolote
HahahaIn Szczesny's smile..![]()
Mamaa weeeeee....uwiiiii naumia mbavu hukuHahahaha
Jamaa wana fanya hadi mazoez mweer
WOSIA
Jimena utachukua nyumba ya dar, na account ya Barclays ataendeleza
Bitoz atachukua mbwa zangu mbili, nlizo nunua Iringa
Mussolin nna kofia za ma cowboy nlinunua texas zko tano JJ atakupa
Briz hapati kitu(na kwenye msiba asije)
Mkwe shululu, ata chukua gari yangu ndogo
Werrason Cd zangu za miziki ya kongo zoote achukue(JJ atampa)
Quigley ng'ombe mmoja wa maziwa(JJ ata mkabidhi)
Swt P ntamkabidhi mwenye vitu nnavo taka apate,(svitaji, ye ndio ata jua) kabla sja enda kwenye maandamano
Ni mimi Szczesny Carrenza
Mbeleye ya mwana sheria namkabidhi wosia huu utekelezwe mara baada ya maandamano ikiwa lolote lita nitokea
Muishi kwa amani msigombane





















. Usiende ukuta bwana ukifa nani atanifariji
? utamuacha Jimena mjane kweli!!
.