Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
Awa mi nme soma naoMi nawaelewa sanaaaa
Ni moja kati ya makundi ya miziki ambayo yalitokea kunivutia japo sikuwa najua kama wao ni ndugu


Binam yake Jimena una mamboAwa mi nme soma nao

Wako poa sana hao..naomba nisaidie my dear kuweka Angel of mine...huku unagoma.
Maneno mengi vitendo 0 ...sijui kama watu wataandamanaHahahha
Na mi nasubiri ila kwa nnavo wajua wabongo, kuna chance ya 0.25% ya watu kuandamana
Weka pichaAwa mi nme soma nao
Haaaa
Asante sana pachaMlikuwa nami Sweetie pie ( A.k.A desperately Single Lady) kwa udhamini wa Pacha wangu Jimena... nawatakieni J.pili njema naamini burudani hiyo itamalizia weekend balabala kabisa..tutaonana tena weekend ijayo panapo Majaaliwa.
Sweetie pie.
xx
Bebe Winans na dada ake Cece winans wote waliokoka..wana masauti balaa.Haaa, good
Wimbo nlikuwa naujua ila waimbaji ndo issue sasa
I thought huyo bebe ni gospel artist na si sercular artis
Mlikuwa nami Sweetie pie ( A.k.A desperately Single Lady) kwa udhamini wa Pacha wangu Jimena... nawatakieni J.pili njema naamini burudani hiyo itamalizia weekend balabala kabisa..tutaonana tena weekend ijayo panapo Majaaliwa.
Sweetie pie.
xx

Safi sanaaaaa
HahahaBinam yake Jimena una mambo![]()
Bebe ana sauti tamu sana huyo kaka jamani.I wanna be the only one to hold u (erase all the pain)
Ila sauti ya bebe winans nayo ilinogesha sana
Hawa nao wanaleta masihara bado nunge nunge tu?!!
SanaaaBebe ana sauti tamu sana huyo kaka jamani.
Haaaa
Siamini
Au SA wametuachia
Kwasasa anafanya gospel ila hata hivyo mbele hakuna wafia diniHaaa, good
Wimbo nlikuwa naujua ila waimbaji ndo issue sasa
I thought huyo bebe ni gospel artist na si sercular artis