Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wewe ni Jiniazi mimi nilikuwa ****** wa hesabu. Ila kusema ukweli masomo niliyokuwa natusua sana ni Geography, History na English. Civics O level nilitusua sana nayo.
Somo ni somo hakuna jiniazi ....nilikuwa bonge la mvivu ht kuandika history siandiki zaidi ya photocopy halafu literature au fasihi sisomi vitabu zaidi ya uchambuzi lkn mambo yangu hayakuwa mbaya
..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom