Sanaaa mpaka tunam miss hapa maskaniHaaa
Uyu jamaa aliadimika
Tupo tayariKapukuzi mko tayari niwaletee "Old is ever Gold" au huu muda ni wa mtu mwingine?

Aaah nakuaminiKwahiyo unawaamini zaidi watu more than mi binamu yako??
Nilisema nataka niende sikusema naenda
Mi ni mzima kabisa, habari ya kupoteaLeo nipo Jimena.
Mzima wewe?
Ngoja ntaenda kuwatafuta hao wengine warud shuleNipo na bitoz,mussolin, jimena na sweetiepie tu
Akivua kofia ni balaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yule jamaa ame shika timu ya yanga tz nzimaa
I missed thisKeith Douglas Crier alizaliwa July 22, 1961 Harlem, Newyork Marekani. Mama yake akiitwa Juanita (Mtengeneza nywele) na Charles Crier mfanyakazi wa kiwandani ( Alifariki 1973), Keith anaimba muziki miondoko ya R&B na Soul, ni mwamdishi, prodyuza, muigizaji na muandaaji wa vipindi binafsi redioni...kabla hajaanza muziki alikuwa akifanya kazi katika commodities Market katika Newyork Merchantile Exchange, Alikuwa akiimba kwenye night clubs huko NY city mpaaka hapo alipogundulika kipaji chake na akapata ofa ya mkataba wa kurekodi na Elektra records mwaka 1987, 1991 alikuwa nominated kama muimbaji wa kiume wa pekee wa R&B, mwaka 1997 alikuwa mwanamuziki bora wa kiume, 1997 alikuwa ni mwanamuziki wa kipekee mwenye album ya Soul, mwaka 2013 alipata tuzo ya Soultrain life time. Ntaweka na vibao vyake viwili ambavyo viliwahi na pengine vinaendelea kukonga nyoyo za wapenzi wa Oldies na Old skuls.![]()
Twisted usikosekane tafadhaliKeith Douglas Crier alizaliwa July 22, 1961 Harlem, Newyork Marekani. Mama yake akiitwa Juanita (Mtengeneza nywele) na Charles Crier mfanyakazi wa kiwandani ( Alifariki 1973), Keith anaimba muziki miondoko ya R&B na Soul, ni mwamdishi, prodyuza, muigizaji na muandaaji wa vipindi binafsi redioni...kabla hajaanza muziki alikuwa akifanya kazi katika commodities Market katika Newyork Merchantile Exchange, Alikuwa akiimba kwenye night clubs huko NY city mpaaka hapo alipogundulika kipaji chake na akapata ofa ya mkataba wa kurekodi na Elektra records mwaka 1987, 1991 alikuwa nominated kama muimbaji wa kiume wa pekee wa R&B, mwaka 1997 alikuwa mwanamuziki bora wa kiume, 1997 alikuwa ni mwanamuziki wa kipekee mwenye album ya Soul, mwaka 2013 alipata tuzo ya Soultrain life time. Ntaweka na vibao vyake viwili ambavyo viliwahi na pengine vinaendelea kukonga nyoyo za wapenzi wa Oldies na Old skuls.![]()
Nzuri mkuuNipo mkuu.
Za masiku?
Mi ni mzima kabisa, habari ya kupotea
YeapSanaaa mpaka tunam miss hapa maskani
Ndio mtaji wake hapa mjiniKibabu kichawi kile
Full magumashi
![]()
![]()
![]()
...........
HahahahaAkivua kofia ni balaa
Ndio mtaji wake hapa mjini