Makapuku Forum

Makapuku Forum

uploadfromtaptalk1471546192385.png
 
FIX ZA BITOZ:
Tuliaminishwaga kwamba Mlima Kitonga ndo hatari zaidi hapa Bongoland kuizidi Sekenke n.k
Lakini baada ya misele yangu kule Milima ya Usambara for almost 3 yrs nikagundua Kitonga cha mtoto tu .......

Milima ya Kushoto ni balaa kubwa huwezi overtake,kuna bonge la ukungu,kona kibao kuanzia Mombo saa nzima .........magari makubwa hayapishani yaani Shambalai likikutana Manning Nice juu Mlimani busara inatumika ya kuweka gari pembeni
Kitonga ajali nyingi 7bu mahari mengi yanapita pale na malori ya kutosha yanayoenda nje ya nchi wkt Lushoto ni pembezoni ya nchi na hivyo mahari ni machache ni nadra kuliona lori la kontena
Kushoto noma ...usiombe kipindi cha ukungu dereva anasukuma gari km mkokoteni....
View attachment 383977
*******"""""""""*************
Tulipita na shambalai, kama Dakika moja hivi likashuka jiwe kutoka juu mpaka, lingetukuta tusinge pona, ilikuwa bonge la jiwe kama Tani 1 hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom