Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Ili iweje ?Ionyeshe sasa
WhatsApp sioneshagi
JF niliset pia lkn sijui km haionekani
Inaonekana?
...............
Ili iweje ?Ionyeshe sasa
Jf haionekani piaIli iweje ?
WhatsApp sioneshagi
JF niliset pia lkn sijui km haionekani
Inaonekana?
...............
Jf haionekani pia
Bitoz buana
Mi binafsi ni online tu kama sitaki kuwasiliana na mtu si namu ignore tu au kumblock kabisa...no need to hide my online status.View attachment 383969
Ndo napenda ....sipendi kufuatwafuatwa WhatsApp na PM JF ......ukificha last seen/online status inasaidia kumkata mtu stimu ya kuanzisha chat za kibwege
...........
Huyo kwa kupambana anatishaPoa usijali, pambana
Kumblock mtu siwezi kamwe.....hata unitukane/unifanyie baya gani SIKUBLOCKMi binafsi ni online tu kama sitaki kuwasiliana na mtu si namu ignore tu au kumblock kabisa...no need to hide my online status.
Naona tozi katupia miwani ya "thug life"![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aweke picha kwanza![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Cc mussolin
Kuna kesi itafunguliwa?
Mkwe wangu, kawa tena jirani yanguSijamwona leo, na jirani yake Shululu nae umemwona???
osie nzezeNaona tozi katupia miwani ya "thug life"![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mi ilikuwa too much nikablock mtu mara moja tu kwa mara ya kwanza maana alikuwa too annoying. Mi nataka nione mtu last seen yake ni saa ngap ili nijue kama atakuwa bize ama la ndio maana na mimi yangu naiacha.Kumblock mtu siwezi kamwe.....hata unitukane/unifanyie baya gani SIKUBLOCK
Nakudelete # tu nakuacha uendelee muangalia jinsi ninavyokuignore na issue zangu kusonga mbele
Sipendi tu ntu hajue naamka saa ngapi,nachat chat ana vipi
....................
Aweke pichaAweke picha kwanza
Kumbe!Mkwe wangu, kawa tena jirani yangu
