Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Hapo gombania nafasi na mcongoMie ya mtunza kumbukumbu itanifaa...[emoji12] [emoji126]
Hapo gombania nafasi na mcongoMie ya mtunza kumbukumbu itanifaa...[emoji12] [emoji126]
Acha tuMaana had fans watamsahau sasa
Weka pichaMzee wa mapicha picha sijui yupo wapi, sio kawaida yake
Cc bitoz
Alionekana kama saa moja lililopitaWeka picha
Leo naona yuko busy sana
Wewweee[emoji23]1 2 3
NiajezHelloo
HelloooKivipi...[emoji85] ?
Weka pic.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HeheheTangu j.pili nashindwa kuweka video sijui imekuaje...?
Hadie sweetiepie ako uko!!?Hahaha...tuko wengi sasa, Mimi, wewe, Jimena na Shululu.
Tuchague mwenyekiti na katibu.
Nakala kwa:
Jimena
shululu
Sweetiepie
Jimena kuna nini huku????Hili limepita kabisa
Niko poa, manuu yuko hapa anakusalimuuuNiajez
Yap. Hii inaitwa toroka uje.Hadie sweetiepie ako uko!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una ni mock
Nimiokota apo sja pata ntampeleka kwenye vituo
Ili kundi la picha ni vema ujitoe tubak tim no pichaWeka picha
yap, trna mwaka huu mwanzoni.Kumbe kashatangulia??
Kubwa lao.Mi sijamuona kabisa
Cc Bitoz
Mwalimu wangu huyu [emoji106]NUKUU NO 1#
Nikitofautisha haki-jamii (social justice) na haki-sheria (legal justice)
Haki-sheria maana yake ni kila mtu ana haki sawa mbele ya sheria
Huu ni msingi wa mfumo wa kibwanyenye.
Sheria haijari wewe ni nani - masikini au tajiri _ wote mna haki sawa. Kwa mfano, haki ya kuishi.
Lakini hali halisi usawa huo ni wa kinadhalia tu,kwa sababu masikini na tajiri, kwa vyovyote vile sio sawa. Haki-sheria haiangalii hali halisi, haijali tofauti za kijamii na za kiuchumi Kati ya mtu na mtu. Kwa sababu kinacholinganishwa katika dhana hii sio ubinadamu bali ni haki
Haya yalisemwa na Profesa maarufu Issa Shivji kutoka katika mada alioiwakilisha kwenye kongamano la kuadhimisha miaka 15 ya kumbukumbu za Mwalimu Nyerere, October 17,2014.
Kongamano liliandaliwa na taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF)