Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Maana had fans watamsahau sasaBritney mi pia nimem miss sana
Huwa naona kwa sasa yuko busy kidogo na malezi maana boys wetu wamekuwa wakubwa sasa,
Anafanya show pia japo sio sana
Maana had fans watamsahau sasaBritney mi pia nimem miss sana
Huwa naona kwa sasa yuko busy kidogo na malezi maana boys wetu wamekuwa wakubwa sasa,
Anafanya show pia japo sio sana
Ndio nilimsahau kabisa
SanaaaJapo nice nae Siku hizi kapoteza muelekeo
Uchochezi mkubwa sanaUna majibu makali sana, hahahaha.
Huu ni Uchochezi.
Shivji nae anatema checheNUKUU NO 1#
Nikitofautisha haki-jamii (social justice) na haki-sheria (legal justice)
Haki-sheria maana yake ni kila mtu ana haki sawa mbele ya sheria
Huu ni msingi wa mfumo wa kibwanyenye.
Sheria haijari wewe ni nani - masikini au tajiri _ wote mna haki sawa. Kwa mfano, haki ya kuishi.
Lakini hali halisi usawa huo ni wa kinadhalia tu,kwa sababu masikini na tajiri, kwa vyovyote vile sio sawa. Haki-sheria haiangalii hali halisi, haijali tofauti za kijamii na za kiuchumi Kati ya mtu na mtu. Kwa sababu kinacholinganishwa katika dhana hii sio ubinadamu bali ni haki
Haya yalisemwa na Profesa maarufu Issa Shivji kutoka katika mada alioiwakilisha kwenye kongamano la kuadhimisha miaka 15 ya kumbukumbu za Mwalimu Nyerere, October 17,2014.
Kongamano liliandaliwa na taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF)
Kila mtu anafikiria ni demu wako sijui kwa niniMmmh!....unasemaaaaa!!!![]()
![]()
Mzee wa mapicha picha sijui yupo wapi, sio kawaida yakeShivji nae anatema cheche
Hiki kitabu kama unacho hakikisha napata copy yakeNUKUU NO 2#
Ndoto za kuwa na Africa isiyo na ukabila haimaanishi kutokuwa na tofauti za kikabila katika Bara la Africa wala kifo cha kawaida cha kabila za asili za Africa.
Tofauti za utamaduni na lugha ni utajiri iliorithi kutoka kwa wahenga wake.
Changamoto imekuwa ni jinsi kutunza utajiri huo bila kuchochea migogoro ya kikabila na kutetelesha utaifa
Haya ni maneno kutoka kwa Profesa mashuhuri Alli Mazrui katika kitabu kinachoitwa "Julius Nyerere Africa's Titan on a global stage"
Kilichoandikwa na Profesa Mazrui pamoja na Lindah L Mhando, chini ya mada "post -Tribal Nyerere to post -Racial Obama: Comparative vision in political Leadership
Mimi pia nilikuwa nawaza kuhusu hilo hilo...mzee wa updatesMzee wa mapicha picha sijui yupo wapi, sio kawaida yake
Cc bitoz
Asante sana kwa Nukuu ya leoNukuu ya leo imeletwa kwenu kwa hisani ya sweetiepie, tangu asubuhi yupo KF
Wanatafuta kuuanaWengine wanabatiza wenzao kwa ubatizo wa moto
Abee...werrasonsweetiepie!!!
![]()
KaribuAsante sana kwa Nukuu ya leo
Mbona mnanirusha roho hivyo jamani??Uminielewa Kwei???
Kumbe kashatangulia??R.I.P Profesa Mazrui
Asante sanaaUmepita kwa kishindo.
Hili limepita kabisaMweka hazina awe Shululu
Mkongo awe mtunza kumbukumbu