Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katika Historia:

1926 - Fidel Castro anazaliwa.

Ni kiongozi wa zamani wa Cuba aliyeongoza mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959 pamoja na makomredi wengine kama vile Ernesto Che Guevara, Raul Castro na Camilo Cienfuegos.

Anachukuliwa kama baba wa taifa la Cuba, kwa uongozi wake uliotukuka na shupavu katika Taifa hilo.
Hahaha
Juzi alisemabhaamini kama amefika miaka 90

Amejaribiwa kuuliwa mara 600 na zaid
 
1471091125791.jpg
 
Kool and the gang ni kikundi cha Jazz, R&b, Soul, Funk na Disco...kilianzishwa mwaka 1964 wakiwa wameegemea zaidi kwenye mziki miondoko ya Jazz, walianza na Jazz halisi baadae funk na r&b na pia wakafanya na smooth pop-funk. Waliuza nakala zaidi ya milioni 70 kimataifa. Waimbaji wa Kikundi hiki ni pamoja na Rober "Kool" bell (muhammad bayyan) akiimbia base, na Ronald bell (Khalis bayyan) akipiga Saxophone, muimbaji kiongozi ni James J.T Taylor, George brown yeye ni mpiga ngoma, Larry Gitten katika tarumbeta, Denis Thomas akipiga Saxophone pia ila ya sauti ya kwanza, Claydes Charles smith mpiga gitaa na Rick west (westfield) yeye akipiga kinanda.
Leo nawaletea kiba chao cha "Fresh" ambacho walikiachia novemba 24, 1984 katika studio ya De-lite Mercury, Wimbo huo ulishika namba 11 katika Uk Chart, na namba 9 katika U.S hot 100 Charts pia kilishika namba moja katika miondoko ya R&b. Wimbo huo ndio ulitambulisha msemo wa "Fresh" ambao ukimaanisha "Safi au poa"View attachment 380794View attachment 380795
Kitambo sanaaa hawa jamaa
 
Back
Top Bottom