BarikiwaView attachment 380661View attachment 380663View attachment 380664
Mpaka hapo basi sina la ziada, kumbuka tu magazeti haya yaliletwa kwenu kwa hisani ya shululu na nukuu ya leo
Naitwa Jimena Jimenes
Besos[emoji8] [emoji8]
Sawa, asante kwa taarifa.Kuanzia weekend hii (jumamosi na jumapili) Sweetiepie atakuja na kitu... Sasa ili kujua atakuja na nini na itakuwa muda gani basi usiondoke endelea kuwepo hapa hapa KF ili uweze kujua ametuandalia nini
Nawatakia week end njema na muwe na amani na upendo
Msilewe sana
Shukrani kwa magazetiView attachment 380661View attachment 380663View attachment 380664
Mpaka hapo basi sina la ziada, kumbuka tu magazeti haya yaliletwa kwenu kwa hisani ya shululu na nukuu ya leo
Naitwa Jimena Jimenes
Besos[emoji8] [emoji8]
Leo katika Historia:
1960 - Jamhuri ya Afrika Ya Kati yapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Leo katika Historia:
1961 - Ujerumani Mashariki yafunga mpaka wake dhidi ya Ujerumani Magharibi ili kuzuia wahamiaji haramu.
Leo Katika Historia:
1926 - Fidel Castro anazaliwa.
Ni kiongozi wa zamani wa Cuba aliyeongoza mapinduzi ya Cuba ya mwaka 1959 pamoja na makomredi wengine kama vile Ernesto Che Guevara, Raul Castro na Camilo Cienfuegos.
Anachukuliwa kama baba wa taifa la Cuba, kwa uongozi wake uliotukuka na shupavu katika Taifa hilo.