Szczesny
JF-Expert Member
- Apr 15, 2016
- 7,180
- 25,925
HaondokiiiHivi Matta na josee walichukuliana demu ni nini, wao ni chui na paka, Matta amesema anaondoka OT
HaondokiiiHivi Matta na josee walichukuliana demu ni nini, wao ni chui na paka, Matta amesema anaondoka OT
Cc jimenaHahaha
Hao sweeden walioiga mpira flan hivi wa miaka ya 70
Kwanza walitanguliza goli, halaf wakarud nyuma
Ni mwendo wa buti, na ku defend
Mbona wa marekan walichoka
WooouwHabari zenu makapukuz wenzangu, kwa mara ya kwanza kabisa ntawaletea segment itakayoitwa "OLD is ever GOLD" nikibase kwenye Biography ya Wasanii na Miziki ya aina yote iliyotamba miaka ya zamani sana lakini ilipendwa na watu wengi. Karibuni![]()
Sweetie pie.

HahahaShululu hana muda maalumu & hatokei daily
Vipindi pekee vyenye ratiba ya kueleweka ni:
*Magazeti
*Leo ktk hisroria
*Top TEN
..................
Anaenda evatonHaondokiii
Haijawahi kutokea kabisaHahaha
Kuna siku shululu alileta nukuu akat tume lala saa nane usku
YeeeeaaaKool and the gang ni kikundi cha Jazz, R&b, Soul, Funk na Disco...kilianzishwa mwaka 1964 wakiwa wameegemea zaidi kwenye mziki miondoko ya Jazz, walianza na Jazz halisi baadae funk na r&b na pia wakafanya na smooth pop-funk. Waliuza nakala zaidi ya milioni 70 kimataifa. Waimbaji wa Kikundi hiki ni pamoja na Rober "Kool" bell (muhammad bayyan) akiimbia base, na Ronald bell (Khalis bayyan) akipiga Saxophone, muimbaji kiongozi ni James J.T Taylor, George brown yeye ni mpiga ngoma, Larry Gitten katika tarumbeta, Denis Thomas akipiga Saxophone pia ila ya sauti ya kwanza, Claydes Charles smith mpiga gitaa na Rick west (westfield) yeye akipiga kinanda.
Leo nawaletea kiba chao cha "Fresh" ambacho walikiachia novemba 24, 1984 katika studio ya De-lite Mercury, Wimbo huo ulishika namba 11 katika Uk Chart, na namba 9 katika U.S hot 100 Charts pia kilishika namba moja katika miondoko ya R&b. Wimbo huo ndio ulitambulisha msemo wa "Fresh" ambao ukimaanisha "Safi au poa"View attachment 380794View attachment 380795
Hahaha
Hao sweeden walioiga mpira flan hivi wa miaka ya 70
Kwanza walitanguliza goli, halaf wakarud nyuma
Ni mwendo wa buti, na ku defend
Mbona wa marekan walichoka
HihihiiiNampenda.
Aliota anasexHahaha
Kuna siku shululu alileta nukuu akat tume lala saa nane usku
HahahahaJimenna na Szczesny...lazma mtueleze mlikuwa wapi maana mmekuja pamoja ghafla!!....![]()
CulNzuri mzima?
HahahaHahahaha
We naweee
Teh tehHabari za huko (USA)
Waapi nilitingwa kidogo na majukumuCul
Jana vipi tena!!?
HahahahaOh yes nakumbuka vizuri.....![]()
![]()
![]()
![]()
Teh tehhahaha eti weupe