Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,268
- 68,342
Leo katika Historia:
Ni siku ya wanawake huko nchini Tunisia.
Ni siku ya wanawake huko nchini Tunisia.
Leo katika Historia:
1963 - Valerie Plame anazaliwa.
Ni jasusi wa zamani wa Shirika la Ujasusi Marekani ( C.I.A ) aliyehudumu wadhifa huo kwa miaka 21 mpaka pale alipoandika barua ya kujiuzulu baada ya kugundulika hadharani kwa kitambulisho chake cha C.I.A
Chui na paka
Miaka 90 kwa Komredi Castro hakikaamekula Chumvi.
Leo katika Historia:
1970 - Alan Shearer anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Blackburn Rovers, Newcastle na Timu ya Taifa ya England.
Anashikilia rekodi ya Kufunga magoli 260 katika Ligi Kuu ya England.
Leo katika Historia:
Ni siku ya kimataifa ya Watumiaji wa Mkono wa Kushoto.
Leo katika Historia:
Ni siku ya wanawake huko nchini Tunisia.
Hongera zetu...Leo katika Historia:
Ni siku ya kimataifa ya Watumiaji wa Mkono wa Kushoto.

Leo katika Historia:
Ni siku ya Kuzaliwa kwa Farid Kubanda maarufu kama Fid Q.
#August13.
Kwa hisani ya EPLKwa udhamini mnono wa Farid Kubanda, Mzee wa August 13 niwatakie Jumamosi njema na Sabato njema.
Kwa wenzetu kawaida sisi 70 tu hadi uchinje sisimiziMiaka 90 kwa Komredi Castro hakikaamekula Chumvi.
Yap ni kweli, alikataa mara mbili kutua man utd.View attachment 380700View attachment 380701View attachment 380702
Mmoja wa masupastaa asiyechezea timu kubwa
............
Hata Obama nae ni kushoto.
Ndoa ya mukeka?
Ili achongewe sanamuYap ni kweli, alikataa mara mbili kutua man utd.
Kumbe mpo wengi?Hongera zetu...![]()
Nulikuwa naonaga aibu kuandikia mashoto had nikajifunza na mkono wa kulia so sahv natumie yote yote.Hata Obama nae ni kushoto.
hahaha..ila rekodi yake ya magoli 269 itadumu sana.Ili achongewe sanamu
![]()
![]()
![]()
.............