shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Hivi Matta na josee walichukuliana demu ni nini, wao ni chui na paka, Matta amesema anaondoka OT
Hivi Matta na josee walichukuliana demu ni nini, wao ni chui na paka, Matta amesema anaondoka OT
Hata mm sielewi .....samtaimu shabiki kazi yako kusapoti kila kituHivi Matta na josee walichukuliana demu ni nini, wao ni chui na paka, Matta amesema anaondoka OT
Shukrani mkuuTupo poa, pole na safari
Tajiri wa mashahiri sumu..Kwa udhamini mnono wa Farid Kubanda, Mzee wa August 13 niwatakie Jumamosi njema na Sabato njema.
Ni jambo jema.....cha msingi uwe na ratiba ya kueleweka ili usingiliane na vipindi vingineHabari zenu makapukuz wenzangu, kwa mara ya kwanza kabisa ntawaletea segment itakayoitwa "OLD is ever GOLD" nikibase kwenye Biography ya Wasanii na Miziki ya aina yote iliyotamba miaka ya zamani sana lakini ilipendwa na watu wengi. Karibuni![]()
Sweetie pie.
Akitoka Shululu...Ni jambo jema.....cha msingi uwe na ratiba ya kueleweka ili usingiliane na vipindi vingine
Ratiba mtu unaamua mwenyewe unavyoona ndo muda nzuri
![]()
![]()
![]()
................
Shululu hana muda maalumu & hatokei dailyAkitoka Shululu...
Shululu hana muda maalumu & hatokei daily
Vipindi pekee vyenye ratiba ya kueleweka ni
*Magazeti
*Leo ktk hisroria
*Top TEN
..................

Mimi ni jumatatu mpaka ijumaa tu, kuanzia saa 17.30 jioniShululu hana muda maalumu & hatokei daily
Vipindi pekee vyenye ratiba ya kueleweka ni:
*Magazeti
*Leo ktk hisroria
*Top TEN
..................
Kuna wakati huwa kazi zinanibana sanaShululu hana muda maalumu & hatokei daily
Vipindi pekee vyenye ratiba ya kueleweka ni:
*Magazeti
*Leo ktk hisroria
*Top TEN
..................
Tena kuna wengine wanamiliki vipindi hewa ....waliviendesha kiduchu zen vimepotea sijui vimewashinda(coz wapo hapahapa km kawa)
Nilizungumzia "ratiba" hujawahi kuweka ya kueleweka.......ubize inajulikana lkn ratiba muhimuKuna wakati huwa kazi zinanibana sana
Mara nyingi huwa jioni, niliwahi kuonekana asubuhi mara moja, baada ya kuona ratiba yangu jioni itakuwa ngumuNilizungumzia "ratiba" hujawahi kuweka ya kueleweka.......ubize inajulikana lkn ratiba muhimu
Vipindi vikiwa vingi mtaanza kugongana km magari
.............
OKAYMara nyingi huwa jioni, niliwahi kuonekana asubuhi mara moja, baada ya kuona ratiba yangu jioni itakuwa ngumu