Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 2, Angela Merkel View attachment 379219huyu ni Chancellor wa Ujerumani ambaye mwaka 2014 alifanikiwa kishinda awamu ya tatu ya uchaguzi wa miaka mi nne huko nchini kwake
Kwa sasa ni kama ndiyo kiongozi mkuu wa jumuiya ya ulaya pia ametumika kushawishi sana nchi za jumuia ya ulaya kushughulika mattzo ya nchi hizo likiwemo ttzo ka wakimbizi
Kati ya huyu mama na Rais wa Ujerumani nani yupo juu kimadaraka?
 
Number 1, Vladimir Putin View attachment 379226huyu ndio kiongozi nnaye mpenda zaid kwa sasa na nna fanya mipango ya kwenda kumtembelea siku moja
Ameweza kuiendeleza urusi ki uchumi na kijeshi pia wana nchi wake wana ikubali kazi anayo fanya kwa asilimia 89% ameweza kuwa kiongozi wa kuibakisha serikali huko Syria, kupambana na ISIS na kukichukua kisiwa cha Crimea bila bugudha ya mtu yyte
Uchumi wa urusi unakua na ndiye kiongozi mchapa kazi na mwenywe kauli kuliko wotee duniani
Jasusi wa zamani wa KGB ambae ana mkanda mweusi wa Taekwondo.

Yupo smart sana katika uongozi wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom