Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Hii ingemfichia aibuHahahaha
Kwa heshima yake atangaze kuto gombea tena
Wenzetu hakuna u dikteta uchwara ni km UK PM v QUEENKati ya huyu mama na Rais wa Ujerumani nani yupo juu kimadaraka?
Ujerumani wana mfalme kama sikoseiKati ya huyu mama na Rais wa Ujerumani nani yupo juu kimadaraka?
Mpaka keroHuyo jamaa wa Msoga kwa kukenua tuu hajambo
Alichekelea misaada yaani ht ya soda full tabasamuHuyo jamaa wa Msoga kwa kukenua tuu hajambo
RekebishaNmekosea hiyo msg usjal
Alifikiri Rais wa Ujerumani ana mamlaka rundo km Jioni PombeAaah
Rais ni mkuu wa nchi tuu hana ishu
Hatushoboke kamechi ka1 kwa week tena kadogooooooDr Leakey mchambuzi maarufu wa mpira wa miguu yuko live TV1 kipindi cha toroka uje
HahahahSerikali ya matamko
![]()
![]()
![]()
........
Immigration ina msumbua ee!!?Hii ingemfichia aibu
HahahaMi na putini tofauti![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna RaisUjerumani wana mfalme kama sikosei
Mimi naangalia faida kama MchaggaUnataka kumposa???
Hapana my lady wana Rais ila Ceremonial tuuUjerumani wana mfalme kama sikosei
HahahaAlifikiri Rais wa Ujerumani ana mamlaka rundo km Jioni Pombe
![]()
![]()
![]()
.........
Anko wa chatleAlifikiri Rais wa Ujerumani ana mamlaka rundo km Jioni Pombe
![]()
![]()
![]()
.........