Hapo sasa ndo umeongea pointNmepata muda japo kidogo sana.. ila nmeona niwaletee riwaya wakati huu huu
Shusha mzigo huo....Nmepata muda japo kidogo sana.. ila nmeona niwaletee riwaya wakati huu huu
Ok, tayar nmeshaanza kuzishushaShusha mzigo huo....
Ni swaga tu hamna cha kukosea wala nini!!! Gunia naandika junia etc.Teh teh
Naona umerudia makosa
Dokita KigwaHahaha
Inaezekana uyu ni kigwangala

Haaa
Kwa hyo wangu umizidi!!?
umizidi-umezidi

Hivi Jimena anajua huo Wimbo?Jimena wangu
.sikilza wimbo wa harmonize matatizo
Kila kitu watu wana fanya kwa kuwa wana tafuta solution ya mattzo, wengi walikuwa wana taka kupata watt
Ni wivu au?-nawaza tu kwa sautiNakuona Briz Bristol katika ubora wako

Naskia halufu ya muheshimiwaHahaha hapana mkuu, kazi zangu ni tangible sio kukagua mi naingia field kabisa

Kwani mara ya mwisho kwenda kule ni lini?Du pole sana, sikujua kuwa net kule ni majanga![]()
![]()
![]()
Nikiwa na mwaka mmojaKwani mara ya mwisho kwenda kule ni lini?
Naskia halufu ya muheshimiwa![]()



ziba masikio papaa, usiiskie tena hyo harufu inakupotezaHaha duh, kwa kifupi hamna unachokumbuka sio??Nikiwa na mwaka mmoja
Ntaujua taratibuHivi Jimena anajua huo Wimbo?
Hahahahahaha usinifanyie hivyoNi wivu au?-nawaza tu kwa sauti![]()
![]()
![]()
![]()
Hili nalo nenoNaskia halufu ya muheshimiwa![]()