Makapuku Forum

Makapuku Forum

1470842236278.jpg
 
FIX ZA BITOZ:
1/Police wa Bongo wana uwezo wa kunusa uwepo wa maandamano ya CHADEMA umbali wa km 900 lkn hawawezi kunusa ujambazi uliopo mita 2 kutoka kituoni kwao

2/Wasichana wa Sekondari wana uwezo wa kusikia harufu ya chipsi yai umbali wa km 7 kuliko mbwa wa Police

3/Jukwaa la Polifix ndo jukwaa linaloongoza kwa ban hapa JF

4/serikali ya Bongoland inamiliki kandege kamoja tu kanakoruka tena ni kabovu na kanafanya safari za ndani tu

5/pamoja na Bongoland kuongeza kwa kuwa na idadi ndogo ya wasomi lkn ndo nchi pekee ya EAC ambayo diploma holder mwenye GPA 3,4 haruhusiwi kupiga degree tena anaitwa KILLERZER

6/Hata ufanyaje huwezi kujizuia kujamba ...utabana mchana lkn ukilala tu ushuzi utakutoka hata maiti uendelea kujamba dk kadhaa baada ya mtu kufa


*******************
 
FIX ZA BITOZ:
1/Police wa Bongo wana uwezo wa kunusa uwepo wa maandamano ya CHADEMA umbali wa km 900 lkn hawawezi kunusa ujambazi uliopo mita 2 kutoka kituoni kwao

2/Wasichana wa Sekondari wana uwezo wa kusikia harufu ya chipsi yai umbali wa km 7

3/Jukwaa la Polifix ndo jukwaa linaloongoza kwa ban hapa JF

4/serikali ya Bongoland inamiliki kandege kamoja tu kanakoruka tena ni kabovu na kanafanya safari za ndani tu

5/pamoja na Bongoland kuongeza kwa kuwa na idadi ndogo ya wasomi lkn ndo nchi pekee ya EAC ambayo diploma holder mwenye GPA 3,4 haruhusiwi kupiga degree tena anaitwa KILLERZER

6/Hata ufanyaje huwezi kujizuia kujamba ...utabana mchana lkn ukilala tu ushuzi utakutoka hata maiti uendelea kujamba dk kadhaa baada ya mtu kufa


*******************
Sifa namba mbili hata mi ninayo
 
FIX ZA BITOZ:
1/Police wa Bongo wana uwezo wa kunusa uwepo wa maandamano ya CHADEMA umbali wa km 900 lkn hawawezi kunusa ujambazi uliopo mita 2 kutoka kituoni kwao

2/Wasichana wa Sekondari wana uwezo wa kusikia harufu ya chipsi yai umbali wa km 7 kuliko mbwa wa Police

3/Jukwaa la Polifix ndo jukwaa linaloongoza kwa ban hapa JF

4/serikali ya Bongoland inamiliki kandege kamoja tu kanakoruka tena ni kabovu na kanafanya safari za ndani tu

5/pamoja na Bongoland kuongeza kwa kuwa na idadi ndogo ya wasomi lkn ndo nchi pekee ya EAC ambayo diploma holder mwenye GPA 3,4 haruhusiwi kupiga degree tena anaitwa KILLERZER

6/Hata ufanyaje huwezi kujizuia kujamba ...utabana mchana lkn ukilala tu ushuzi utakutoka hata maiti uendelea kujamba dk kadhaa baada ya mtu kufa


*******************
Duuh hyo namba 6
 
FIX ZA BITOZ:
1/Police wa Bongo wana uwezo wa kunusa uwepo wa maandamano ya CHADEMA umbali wa km 900 lkn hawawezi kunusa ujambazi uliopo mita 2 kutoka kituoni kwao

2/Wasichana wa Sekondari wana uwezo wa kusikia harufu ya chipsi yai umbali wa km 7 kuliko mbwa wa Police

3/Jukwaa la Polifix ndo jukwaa linaloongoza kwa ban hapa JF

4/serikali ya Bongoland inamiliki kandege kamoja tu kanakoruka tena ni kabovu na kanafanya safari za ndani tu

5/pamoja na Bongoland kuongeza kwa kuwa na idadi ndogo ya wasomi lkn ndo nchi pekee ya EAC ambayo diploma holder mwenye GPA 3,4 haruhusiwi kupiga degree tena anaitwa KILLERZER

6/Hata ufanyaje huwezi kujizuia kujamba ...utabana mchana lkn ukilala tu ushuzi utakutoka hata maiti uendelea kujamba dk kadhaa baada ya mtu kufa


*******************
Bro swala la diploma naunga mkono, vigezo vikazwe
Tena mi nilijua wataweka 4.0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom