#6 pia nasikia unaongoza kwa makapukuSifa namba mbili hata mi ninayo![]()
![]()
![]()
![]()
Hapo ulipo baada ya kusoma ushfanya puu puu puuuuDuuh hyo namba 6
Hahaha duh!Unalichokoza Licongo wkt bado linadaiwa buku 20 hotelini Kenya
![]()
![]()
![]()
.........
Bonge la uchwara ww tuna kujuaPesa madafu haisumbui hivyo mimi sio uchwara.
hahaha...pamepoa kidizainiWatu kama hampo hvi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sawa na redio, mtangazaji unatangaza ila unajua hakuna anye skilza
Sawa najua we kipa GPA unafikiri ni magoliBro swala la diploma naunga mkono, vigezo vikazwe
Tena mi nilijua wataweka 4.0
Mimi pedeshee kwa maeneo yangu tuya wanyonge wenzangu wavuja jasho.Bonge la uchwara ww tuna kujua
![]()
![]()
![]()
.........
Hiyo namba moja sio fix ni kweli kabisaFIX ZA BITOZ:
1/Police wa Bongo wana uwezo wa kunusa uwepo wa maandamano ya CHADEMA umbali wa km 900 lkn hawawezi kunusa ujambazi uliopo mita 2 kutoka kituoni kwao
2/Wasichana wa Sekondari wana uwezo wa kusikia harufu ya chipsi yai umbali wa km 7 kuliko mbwa wa Police
3/Jukwaa la Polifix ndo jukwaa linaloongoza kwa ban hapa JF
4/serikali ya Bongoland inamiliki kandege kamoja tu kanakoruka tena ni kabovu na kanafanya safari za ndani tu
5/pamoja na Bongoland kuongeza kwa kuwa na idadi ndogo ya wasomi lkn ndo nchi pekee ya EAC ambayo diploma holder mwenye GPA 3,4 haruhusiwi kupiga degree tena anaitwa KILLERZER
6/Hata ufanyaje huwezi kujizuia kujamba ...utabana mchana lkn ukilala tu ushuzi utakutoka hata maiti uendelea kujamba dk kadhaa baada ya mtu kufa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
*******************
Number 10, Larry PageView attachment 379185 akiwa na utajiri unao kadiriwa kufikia dola za kimarekani bilioni 37.6 mkurugenzi mtendaji wa Google ndugu Larry Page ana akamata namba 10
Hivi sasa ni CEO wa Google Alphabet ambayo ni kampuni mama inayo ziunganisha Google, Google X lab, Calico, Nest na Fiber
Mwezi wa 8 mwaka jana kuna mabadiliko yalijitokeza na kumfanya Page awe ni mkurugenzi anate shughulikia mipango ya muda mrefu
FIX ZA BITOZ:
6/Hata ufanyaje huwezi kujizuia kujamba ...utabana mchana lkn ukilala tu ushuzi utakutoka hata maiti uendelea kujamba dk kadhaa baada ya mtu kufa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
*******************





kuna kaukweli flan hapaSawa bepari muuza gengeMimi pedeshee kwa maeneo yangu tuya wanyonge wenzangu wavuja jasho.
hahahah...sawa kubwa lao.Sawa bepari muuza genge
![]()
![]()
![]()
........
Pale fix 5 zina ukweli kasoro ile ya chipsi tuHiyo namba moja sio fix ni kweli kabisa
Sifa namba mbili hata mi ninayo![]()
![]()
![]()
![]()
hyo sifa kama bado ipo utakua umempunguzia Szczesny gharama