briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Sijui wap au kwenye gar ya mwendokasi??![]()
![]()
![]()



hii ya mwendo kasi ni mara ya pili, nlijikuta nimeshukia kituo cha mbele kwa kunogewa na mastory yako 
Sijui wap au kwenye gar ya mwendokasi??![]()
![]()
![]()



hii ya mwendo kasi ni mara ya pili, nlijikuta nimeshukia kituo cha mbele kwa kunogewa na mastory yako 
Na hii ndo maana halisi ya 'Mjini shule'Wajinga ndio waliwao
Jimena wanguNao waliyataka, kwanini watu ni wepesi sana kuamini mtu![]()
![]()
Wanakuwa wame wa fix tuuLabda sayari nyingine kabisa
Hahaha picha la kihindi hasa maana stering anakufa katikati ya movieStering ni Amitah Bachan
Hahahahahii ya mwendo kasi ni mara ya pili, nlijikuta nimeshukia kituo cha mbele kwa kunogewa na mastory yako
![]()

Uko sahihi, matatizo yanaweza yakakufanya mpaka uwajue kina karumanzilaJimena wangu
.sikilza wimbo wa harmonize matatizo
Kila kitu watu wana fanya kwa kuwa wana tafuta solution ya mattzo, wengi walikuwa wana taka kupata watt
Asante...nshakaribiaNafikiri nishawah kukuona pale mitaa ya kati, karibu makapukuni
Nakuona Briz Bristol katika ubora wakoMi niko poa kabisa, hivi tushawah onana wap vilee???![]()
![]()
HakikaNa hii ndo maana halisi ya 'Mjini shule'
Tatizo sio hilo,ila hata tuna matatizo ni lazima tuangalie wapi pa kupatia suluhisho. Kuwa na tatizo sio sababu ya mtu kutapeliwa. Mi sijui kwanini tu ila yule jamaa sijawahi kumuaminiJimena wangu
.sikilza wimbo wa harmonize matatizo
Kila kitu watu wana fanya kwa kuwa wana tafuta solution ya mattzo, wengi walikuwa wana taka kupata watt
Ndio maana yakeWanakuwa wame wa fix tuu
KabisaHahaha picha la kihindi hasa maana stering anakufa katikati ya movie
Nimefurahi tumekutana tena hapaHahahaha![]()
![]()
Pamoja sanaAsante...nshakaribia
Huyu mrembo kumbe tushawah kuonana ndani ya daladala, ndo nimemkumbuka leo baada ya kumuona tena hapaNakuona Briz Bristol katika ubora wako
Safi sanaa..... Sasa dumisheni undugu wenuHuyu mrembo kumbe tushawah kuonana ndani ya daladala, ndo nimemkumbuka leo baada ya kumuona tena hapa
Safi sanaa..... Sasa dumisheni undugu wenu
Du pole sana, sikujua kuwa net kule ni majangaHaha ni majukumu yalikua mengi tu wangu afu kule kwenu dizain network haijatulia
