Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Asante sanaWakuu natumain mmeshinda salama top 10 aka kumi kubwa zna wajia hvi punde ahsante
Na karibuuuu
Weka picha.Nlienda hayo mashindano
Hahahah...Nilinusurika kidoogo sana hapa pia
Tupe dondoo kidogo kuhusu Watergate scandalNilialikwa Washington kwenye sherehe ya kuapishwa Ford, Nixon alikuwa rafki yangu sana
Umekula chumvi za kutoshaTulifahamiana sana huyu bhana
Hahahaa
Waanzilishi wengi walisha tangulia mbele za haki (yaan hawapo)
Tuna wakumbuka
Zamani walikufa kizembezembe tu hata mafua yaliwadedisha kinomaLeo naleta tauni zilizokuwa hatar kuliko zoote katika historia yaaan
Top 10 Worst Plagues In History
Usisahahu kuwa tauni ilikuwa kuua watu milion moja ndani ya mwezi mmoja ni kitu cha kawaida sana
Haya twende kaz wakuu
Mdogo mdogo
Kwa style hiyo tauni ilikuwa ni zaidi ya Ukimwi aiseeNumber 9, Great Plague of Marseille1720–1722View attachment 378658 mnamo May 5, 1720, meli kubwa ya kibiashara iliyo itwa Grand Saint Antoine ilitia nanga huko levante ikiongozwa na Captain Jean-Baptiste Chataud, ba baadaye ika unganisha moja kwa moja huko Marseille, japo ilipo tua ilikuwa ina wagonjwa wengi na kuna wa turuki wa wili walikuwa wamefariki na miili yao ilitupwa kwenye maji, mamlaka ya mji ili wakataa abiria walio kuwa kwenye hiyo meli kuingia na ika wapa sehem ya kuwatenga, lakin baadhi ya abiria wali wahonga walinzi na kufanikiwa kuruhisiwa kutoka kwenye kambi hiyo na kuingia town
Na kwa kuwa meli zilibeba vitu vingi zikiwemo bidhaa wale watu waliruhusiwa kwenda kuzichukua kwaajili ya maonesho ya bishara ya Beaucaire
Kilicho fuata.....
Baada ya wiki moja hali ilikuwa ni mbaya , hospitali zili jaa wagonjwa walio kuwa wakitapika damu , waki kohoa mfulilizo na wakitoa mabaka meusi yaliyo vimba, wataalamu wa afya walisgindwa kutoa huduma ilifika sehem wana fariki watu 1000 kwa siku
Wengine waliamua kutoa uhai wao wenyewe kwa kunywa sumu, kujinyonga na kujirusha kwenye kuta mbali mbali kwani wasinge weza kufa kwa mateso kama ya tauni ile, mji ulijaa maiti kwenye kila sehemu yakiwemo makanisa ambako hata watumishi wa Mungu walifariki kwa tauni hiyo na ukosefu wa sehem ya kuzikia ulifanya maiti kutapakaa kila sehemu
Inakadiriwa watu zaidi ya elfu 50,000 wenyeji na elfu 50 wengine wageni walifariki ndani ya miaka miwili
Ki ujmla watu 2/3 ya Marseille walipoteza maisha

Say NO to corruptionNumber 9, Great Plague of Marseille1720–1722View attachment 378658 mnamo May 5, 1720, meli kubwa ya kibiashara iliyo itwa Grand Saint Antoine ilitia nanga huko levante ikiongozwa na Captain Jean-Baptiste Chataud, ba baadaye ika unganisha moja kwa moja huko Marseille, japo ilipo tua ilikuwa ina wagonjwa wengi na kuna wa turuki wa wili walikuwa wamefariki na miili yao ilitupwa kwenye maji, mamlaka ya mji ili wakataa abiria walio kuwa kwenye hiyo meli kuingia na ika wapa sehem ya kuwatenga, lakin baadhi ya abiria wali wahonga walinzi na kufanikiwa kuruhisiwa kutoka kwenye kambi hiyo na kuingia town
Na kwa kuwa meli zilibeba vitu vingi zikiwemo bidhaa wale watu waliruhusiwa kwenda kuzichukua kwaajili ya maonesho ya bishara ya Beaucaire
Kilicho fuata.....
Baada ya wiki moja hali ilikuwa ni mbaya , hospitali zili jaa wagonjwa walio kuwa wakitapika damu , waki kohoa mfulilizo na wakitoa mabaka meusi yaliyo vimba, wataalamu wa afya walisgindwa kutoa huduma ilifika sehem wana fariki watu 1000 kwa siku
Wengine waliamua kutoa uhai wao wenyewe kwa kunywa sumu, kujinyonga na kujirusha kwenye kuta mbali mbali kwani wasinge weza kufa kwa mateso kama ya tauni ile, mji ulijaa maiti kwenye kila sehemu yakiwemo makanisa ambako hata watumishi wa Mungu walifariki kwa tauni hiyo na ukosefu wa sehem ya kuzikia ulifanya maiti kutapakaa kila sehemu
Inakadiriwa watu zaidi ya elfu 50,000 wenyeji na elfu 50 wengine wageni walifariki ndani ya miaka miwili
Ki ujmla watu 2/3 ya Marseille walipoteza maisha
Hiyo siyo hadithiSamahani mkuu Jonax nimejisahau nime quote...nsamehe sana