Makapuku Forum

Makapuku Forum

Number 8, Antonine Plague
165 –180ADView attachment 378687 wanajeshi wa Roma walipo rudi kutoka vitani huko vara Asia, wakiwa wana sherehekea ushindi walianza kuonesha dalili tofuti za kiafya na wengi walianza kudhoofu, kwa kutokwa na mapele, matete kuwanga na dalili nyingne za ajab ajabu ambazo wataalamu wa kipindi hiko walidhani huenda ni ugonjwa wa sulua tuu, lakin ugonjwa ulianza kuua kwa kasi kuanzia wana jeshi mpaka wana nchi na ugonjwa ilifika mda ukaua watu wastani wa 2,000 kwa siku
Pia tauni hii iliua wafalme wa wili wa Roma Lucius Verus, alo fariki mwaka 169, na 180, Marcus Aurelius Antoninus, ubaya wa tauni hii ilipotea lakin baada ya miaka 9 ikarudi na kuendelea kuua idadi kama ile ya 2000 kwa siku
Ina kadiriwa tauni hii ili ua karibu nusu yote ya jeshi la Roma na ina kadiriwa takribani vifo milioni tano vya wagonjwa wa tauni hii vili tokea na kuchukua at keast theluthi moja ya watu wa ulaya
1470767574861.jpg
1470767589453.jpg

Hadi wafalme chako
Kweli tauni noma
............
 
Number 10, Moscow Plague and Riot- 1771 View attachment 378651 dalili za tauni hi zilianza kuonekana mwaka 1770 na kwa idadi ya mwanzo watu takriban elfu hamsini na mbili (52,000) walifariki katika kipindi cha mwaka 1770/71 na hii ilikuwa ni idadi ya Moscow pekee, tauni hii ilienea pakubwa kidogo
Sasa kutokana na shda hiii, vyoo na mabafu ya umma yalifungwa, masoko yalifungwa, makanisa yalifungwa
Mlundikano wa uchafu na mlundikano wa watu ulisababusha maafa yawe makubwa zaid na kupeleka mgomo wa wananchi ambao kuna wengine walikamatwa japo baadaye waliachiwa
Hata baada ya mgomk kuisha na huduma kufungulia yapata watu 48,000 zaid walifariki Moscow pekee
Hii ina sadikika ndio ili re shape mji wa moscow kwan kwa miaka miwili at leas wakazi 1/3 wa mji wake wali fariki
Mnamo mwaka 1972 tauni hii iliisha yenyewe
Majanga
 
Number 8, Antonine Plague
165 –180ADView attachment 378687 wanajeshi wa Roma walipo rudi kutoka vitani huko vara Asia, wakiwa wana sherehekea ushindi walianza kuonesha dalili tofuti za kiafya na wengi walianza kudhoofu, kwa kutokwa na mapele, matete kuwanga na dalili nyingne za ajab ajabu ambazo wataalamu wa kipindi hiko walidhani huenda ni ugonjwa wa sulua tuu, lakin ugonjwa ulianza kuua kwa kasi kuanzia wana jeshi mpaka wana nchi na ugonjwa ilifika mda ukaua watu wastani wa 2,000 kwa siku
Pia tauni hii iliua wafalme wa wili wa Roma Lucius Verus, alo fariki mwaka 169, na 180, Marcus Aurelius Antoninus, ubaya wa tauni hii ilipotea lakin baada ya miaka 9 ikarudi na kuendelea kuua idadi kama ile ya 2000 kwa siku
Ina kadiriwa tauni hii ili ua karibu nusu yote ya jeshi la Roma na ina kadiriwa takribani vifo milioni tano vya wagonjwa wa tauni hii vili tokea na kuchukua at keast theluthi moja ya watu wa ulaya
Mmmh hii nayo kiboko
 
Number 6, Great Plague of Milan
1629–1631 View attachment 378690 naileta kama ilivo hii

The Italian Plague of 1629–1631 was a series of outbreaks of bubonic plague which occurred from 1629 through 1631 in northern Italy. This epidemic, often referred to as Great Plague of Milan, claimed the lives of approximately 280,000 people, with the cities of Lombardy and Venice experiencing particularly high death rates. This episode is considered one of the last outbreaks of the centuries-long pandemic of bubonic plague which began with the Black Death. German and French troops carried the plague to the city of Mantua in 1629, as a result of troop movements associated with the Thirty Years’ War (1618–1648). Venetian troops, infected with the disease, retreated into northern and central Italy, spreading the infection. Overall, Milan suffered approximately 60,000 fatalities out of a total population of 130,000.
Hapa apatikane Ras Simba tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom