MorningMorning family
Mzuri mwenyewe na binti yake nae alikuwa mzuri sana lakini nae alimfuata. Powder haifai
Binti hakuwa nzuri kivile..umechemkaMzuri mwenyewe na binti yake nae alikuwa mzuri sana lakini nae alimfuata. Powder haifai
R I P Whitney Houston
R I P Bobby Christine
Binti hakuwa nzuri kivile..umechemka
![]()
![]()
![]()
![]()
........
Kutambaring..Kapukuz day hiyoooooo
Kama kawaKutambaring..
Nlienda hayo mashindanoLeo katika Historia:
1936 - Katika michuano ya Olimpiki ya majira ya kiangazi, Jesse Owens anashinda medali yake ya 4 ya dhahabu huko Berlin.
Nilinusurika kidoogo sana hapa piaLeo katika Historia:
1945 - Bomu la pili atomiki larushwa huko Nagasaki nchini Japan na kuua watu takribani 35,000.
Bomu hili lililojulikana kama " Fat man " baada ya lile la kwanza la August 6 lililojulikana kama " Little boy "
Wataalamu wa mambo wanasema bomu hili ndilo lililomaliza vita kuu ya pili ya Dunia.
Madhara ya bomu hilo yanaitesa Japan na watu wake mpaka leo.
Nlikuepo singapore kipind hko likuwa saf sanaLeo katika Historia:
1965 - Singapore yajitenga toka kwa Malaysia.
Je sasaNlikuepo singapore kipind hko likuwa saf sana
Nilialikwa Washington kwenye sherehe ya kuapishwa Ford, Nixon alikuwa rafki yangu sanaLeo katika Historia:
1974 - Rais Richard Nixon anajiuzulu rasmi Urais wa Nchi wa Marekani kwa kashfa ya Watergate Scandal.
Anakabidhi Ofisi kwa Gerald Ford ambaye alikuwa ni makamu wake wa Rais.
Tulifahamiana sana huyu bhanaLeo katika Historia:
1931 - Mario Zagallo anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa Brazil aliyeipa ubinhwa wa Dunia wa 1970.
Mazishi yake nlihudhuriaLeo katika Historia:
1962 - Whitney Houston anazaliwa.
Mwimbaji mashuhuri wa muziki nchini Marekani.
Alifariki mwaka 2012.
HaaaLeo katika historia:
1978 - Mikael Sylivester anazaliwa.
Ni beki wa zamani wa Man Utd, Arsenal na Ufaransa.
Tuliskitika sana siku hii kwa kweliLeo katika Historia:
1963 - Patrick Bouvier Kennedy anafariki.
Alikuwa ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy