Makapuku Forum

Makapuku Forum

1470722688652.jpg
 
Leo katika Historia:

1945 - Bomu la pili atomiki larushwa huko Nagasaki nchini Japan na kuua watu takribani 35,000.

Bomu hili lililojulikana kama " Fat man " baada ya lile la kwanza la August 6 lililojulikana kama " Little boy "

Wataalamu wa mambo wanasema bomu hili ndilo lililomaliza vita kuu ya pili ya Dunia.

Madhara ya bomu hilo yanaitesa Japan na watu wake mpaka leo.
Nilinusurika kidoogo sana hapa pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom