Leo katika Historia:
1936 - Katika michuano ya Olimpiki ya majira ya kiangazi, Jesse Owens anashinda medali yake ya 4 ya dhahabu huko Berlin.
Leo katika Historia:
1945 - Bomu la pili atomiki larushwa huko Nagasaki nchini Japan na kuua watu takribani 35,000.
Bomu hili lililojulikana kama " Fat man " baada ya lile la kwanza la August 6 lililojulikana kama " Little boy "
Wataalamu wa mambo wanasema bomu hili ndilo lililomaliza vita kuu ya pili ya Dunia.
Madhara ya bomu hilo yanaitesa Japan na watu wake mpaka leo.
Leo katika Historia:
1965 - Singapore yajitenga toka kwa Malaysia.
Leo katika Historia:
1974 - Rais Richard Nixon anajiuzulu rasmi Urais wa Nchi wa Marekani kwa kashfa ya Watergate Scandal.
Anakabidhi Ofisi kwa Gerald Ford ambaye alikuwa ni makamu wake wa Rais.
Jamaa yule wa Korea ana roho ngumu sana uso wake na matendo yake haviendani kabisaHao ndo viongozi mama
Leo katika Historia:
1931 - Mario Zagallo anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa Brazil aliyeipa ubinhwa wa Dunia wa 1970.
Leo katika Historia:
1947 - Roy Hodgson anazaliwa.
Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya England.
Leo katika Historia:
1962 - Whitney Houston anazaliwa.
Mwimbaji mashuhuri wa muziki nchini Marekani.
Alifariki mwaka 2012.
Leo katika Hostoria:
1963 - Filipo Inzaghi anazaliwa.
Ni straika wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.
Leo katika historia:
1978 - Mikael Sylivester anazaliwa.
Ni beki wa zamani wa Man Utd, Arsenal na Ufaransa.
Leo katika Historia:
1963 - Patrick Bouvier Kennedy anafariki.
Alikuwa ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy